Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #441
Alinda , kama utakuwa umetusoma katika yale mabandiko 4, tumemnukuu Dr Slaa akisema 'Gwajima alimpigia simu na kusema, Lowassa kakatwa, sasa nini cha kufanya? Hiyo tu inaonyesha kulikuwa na maongezi yaliyokuwepo, alichokifanya Gwajima ni kumtaarifu rasmi kuhusu matokeo ambayo wote walikuwa wanayasubiri.Alinda;13848277] Ndio Sumaye, Masha au kiongozi yeyote yule anapotaka kuhamia chama fulani huwa kuna mawasilina kabla.. Hivi unafikri Sumaye aliamka asubuhi na kusema leo naamia Chadema bila kuwa na mawasiliano na viongozi?
Hivi inakuingia akili Gwajima anyanyue simu na kwambia Dr.Slaa kuwa jamaa ameishakatwa na Dr. Slaa ajibu kuwa akaongee na Mwenyekiti? Kama ni hivi nilitegemea Dr.Slaa ajibu kuwa amekatwa kwa sababu ya ufasidi wake au ajibu kitu chochote si kusema aongee na Mwenyekiti? Hii sentensi ya Dr. Slaa inazdhhirisha alichongea Lissu ni kweli kwamba kabla ya Lowassa kukatwa kulikuwa na maongezi kati ya DR,Slaa, Gwajima na Lowassa...
Na katika simu ya Gwajima Dr. Slaa hakusema kuwa alimuombea kujiunga na Chadema bali alimpigia simu kumpa taarifa ya kukatwa! na Dr, Slaa anajibu kuwa aongee na Mwenyekiti sasa kama hawakuwa na mazungumzo kabla basi hii kauli ya niongee na mwenyekti ilikuwa ya nini?
Haya pia tumeuliza. Ukisikiliza Dr Slaa alivyoongea kwa hisia na hasira kuhusu ufisadi, hakuna mtu angetegemea hata kuwa na wazo la kumpigia simu mwenyekitiKwani wakati Gwajima anampigia Dr. Slaa simu ya kumpokea Lowassa, huyu Dr. Slaa hakufahamu kuwa Lowassa ndio yule yule ambaye alikuwa anatutangazia kuwa ni fisadi? na kama alipigiwa na Gwajima simu alishindwa kumwambia hapana sisi Lowassa ni kapi na sisi hatuchukui makapi?
Pengine angemwambia Gwajima siku hiyo iwe ya mwisho kuongea kuhusu Lowassa.
Kwa maelezo yake Slaa akaendelea kuwa kiungo kizuri. Ndio maana tulihoji, katika point karibu 78 Dr salaa hakuona tatizo hadi point ya 68 kwenda mbelea
Kwa kupoteza uelekeo akaanza mambo ya shule za kata, kushambulia watu. Ilikuwa dhahiri, Dr alikuwa na Ombwe la hoja.
Ninamheshimu sana, lakini kwa hili tumwambie, angekaa kimya ingalikuwa bora