Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #281
WAPINZANI WAPOTEZA MTAZAMO ‘FOCUS'
Tumesema huko nyuma, kati ya nyenzo muhimu zaushindi ni kutumia ‘shina' political base popote ilipo.
Hawa wanafahamu vyama kuanzia chini na ndio wajenzi.
Kupoteza political base ni jambo la hatari na madhara yake hayaonekani kwa haraka au kwa urahisi
Vikao vya UKAWA vimeendelea kwa siku nyingi. Mivutano ikiwa namna ya kupata majimbo na wagombea
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kila chama kikatangaza ratiba ya kura za maoni, likatoa nafasi wanachama kugombea
Kura za maoni zina maana, kumpata anayekubalika atakayejenga mtandao katika ngazi husika. Kazi inahitaji muda/fedha
Katika mazingira ya kushangaza, majimbo yakagawanywa.
Zipo sehemu walioshinda kura za maoni wakaaachwa kupisha wagombea wa vyama vinginevya UKAWA
Yapo maeneo wanachama wameachwa kupisha waliohamia . Hili linafanyika bila kuangalia impact yake katika political base
Hayo mawili yameumiza Upinzani. Kuna matimbwili kama la Bunda, Sikonge ambapo Said Nkumba ghafla karudi CCM.
Haiwezekani wananchi wa react, makao makuu wasiwe na ufahamu
Kukiwa na sintofahamu hizo zinazogusa political base ya upinzani,wanafanya makosa, haionekani kuna anayetambua hilo
Kutokana na kuptoeza focus, na matumaini hewa UKAWA waliojazwa, hadi sasa wamepoteza majimbo 5.
Kabla hawajazindua kampeni kwa jinsi tulivyofauatilia, wameshapoteza
Huko kwingine kuna confusion, demoralization n.k. kwasababu hakuna mtu wa kuweka mambo sawa.
Hapa tunasema Dr Slaa alikuwa mtu aliyeweza kufuatilia kwa ukaribu. Alikuwa na ufahamu wa siasa kwa ujumla.
Ni ukweli lazima usemwe
Kwa viongozi waliopo, CUF haina uongozi unaoeleweka, CDM structure yao haijaziba pengo.
NCCR afadhali kidogo maana wao hawana cha kupoteza.
Uongozi wa juu wote umemzunguka Lowassa na kufanya maandalizi ya Lowassa bila kujua nini kinaendelea majimboni.
Yaani shauku kubwa ipo kwa mtu bila kujali huko mitaani nini kinaendelea.
Akina Tundu wanasema, wanajua walikuwa dhaifu sana katika baadhi ya maeneo ya nchi.
Hao hao akina Lissu sasa hivi hawana habari wamejikita katika Urais. This is wrong! Na kundi la ujio halionakani ku merge
CCM wakipata majimbo 2/3 mnatoa fursa kwa vyombo ''kufanya mambo yao''
Mnachotakiwa ni kushinda ili kuzuia kufinyangwa matokeo bilasababu.
Wapinzani mna disadvantage kwamba hamna vyombo vya kuwasaidia. Lazima mshinde kwa kishindo
Na kazi ya kushinda si ya mtu wala matumaini tu, ni kazi za wanachama waliojenga vyama hivyo, na kazi ya viongozi wanaoangalia ramani kwa ukubwa wake na si wingi wa mikutano.
Lipo tatizo upinzani, wasipoangalia CCM itawatokea kwa nyuma ikisaidiwa na vyombo vya umma.
Tunarudia lipo tatizo, hawajajipanga na wakiendelea na hali iliyopo watalipa gharama
Wamepoteza focus, wanamtazama mtu kama chama bila kujua ushindi ni suala la team !
Tusemezane
Tumesema huko nyuma, kati ya nyenzo muhimu zaushindi ni kutumia ‘shina' political base popote ilipo.
Hawa wanafahamu vyama kuanzia chini na ndio wajenzi.
Kupoteza political base ni jambo la hatari na madhara yake hayaonekani kwa haraka au kwa urahisi
Vikao vya UKAWA vimeendelea kwa siku nyingi. Mivutano ikiwa namna ya kupata majimbo na wagombea
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kila chama kikatangaza ratiba ya kura za maoni, likatoa nafasi wanachama kugombea
Kura za maoni zina maana, kumpata anayekubalika atakayejenga mtandao katika ngazi husika. Kazi inahitaji muda/fedha
Katika mazingira ya kushangaza, majimbo yakagawanywa.
Zipo sehemu walioshinda kura za maoni wakaaachwa kupisha wagombea wa vyama vinginevya UKAWA
Yapo maeneo wanachama wameachwa kupisha waliohamia . Hili linafanyika bila kuangalia impact yake katika political base
Hayo mawili yameumiza Upinzani. Kuna matimbwili kama la Bunda, Sikonge ambapo Said Nkumba ghafla karudi CCM.
Haiwezekani wananchi wa react, makao makuu wasiwe na ufahamu
Kukiwa na sintofahamu hizo zinazogusa political base ya upinzani,wanafanya makosa, haionekani kuna anayetambua hilo
Kutokana na kuptoeza focus, na matumaini hewa UKAWA waliojazwa, hadi sasa wamepoteza majimbo 5.
Kabla hawajazindua kampeni kwa jinsi tulivyofauatilia, wameshapoteza
Huko kwingine kuna confusion, demoralization n.k. kwasababu hakuna mtu wa kuweka mambo sawa.
Hapa tunasema Dr Slaa alikuwa mtu aliyeweza kufuatilia kwa ukaribu. Alikuwa na ufahamu wa siasa kwa ujumla.
Ni ukweli lazima usemwe
Kwa viongozi waliopo, CUF haina uongozi unaoeleweka, CDM structure yao haijaziba pengo.
NCCR afadhali kidogo maana wao hawana cha kupoteza.
Uongozi wa juu wote umemzunguka Lowassa na kufanya maandalizi ya Lowassa bila kujua nini kinaendelea majimboni.
Yaani shauku kubwa ipo kwa mtu bila kujali huko mitaani nini kinaendelea.
Akina Tundu wanasema, wanajua walikuwa dhaifu sana katika baadhi ya maeneo ya nchi.
Hao hao akina Lissu sasa hivi hawana habari wamejikita katika Urais. This is wrong! Na kundi la ujio halionakani ku merge
CCM wakipata majimbo 2/3 mnatoa fursa kwa vyombo ''kufanya mambo yao''
Mnachotakiwa ni kushinda ili kuzuia kufinyangwa matokeo bilasababu.
Wapinzani mna disadvantage kwamba hamna vyombo vya kuwasaidia. Lazima mshinde kwa kishindo
Na kazi ya kushinda si ya mtu wala matumaini tu, ni kazi za wanachama waliojenga vyama hivyo, na kazi ya viongozi wanaoangalia ramani kwa ukubwa wake na si wingi wa mikutano.
Lipo tatizo upinzani, wasipoangalia CCM itawatokea kwa nyuma ikisaidiwa na vyombo vya umma.
Tunarudia lipo tatizo, hawajajipanga na wakiendelea na hali iliyopo watalipa gharama
Wamepoteza focus, wanamtazama mtu kama chama bila kujua ushindi ni suala la team !
Tusemezane