Hivi kitengo chenu Cha propaganda hakuna watu wenye akili Zaid yako? Mbona wewe ni mburula Sana. Nyie ccm si ndo hua mnasomba watoto wetu wa shule kujaza mikutano yenu?Ni kwa nia njema tu katika kulinda haki za watoto.
Kwenye picha za mikutano ya chadema utaona idadi kubwa ya watoto pengine kuliko hata watu wazima. Hii si sawa.
Akili ya watoto haina uwezo wa kupambanua mambo yanayohusu siasa. Badala yake watawatemgenea tu msongo wa mawazoView attachment 2629690
Ni kwa nia njema tu katika kulinda haki za watoto.
Kwenye picha za mikutano ya chadema utaona idadi kubwa ya watoto pengine kuliko hata watu wazima. Hii si sawa.
Akili ya watoto haina uwezo wa kupambanua mambo yanayohusu siasa. Badala yake watawatemgenea tu msongo wa mawa
Ccm hawachukui watoto wa shule kwenye mikutano ya kisiasa labda kwenye maadhimisho ya kitaifa.Hivi kitengo chenu Cha propaganda hakuna watu wenye akili Zaid yako? Mbona wewe ni mburula Sana. Nyie ccm si ndo hua mnasomba watoto wetu wa shule kujaza mikutano yenu?
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Yeah, Huwa ndio swali langu nawaulizaga daily! Wana propaganda za kipumbavu sanaHivi kitengo chenu Cha propaganda hakuna watu wenye akili Zaid yako? Mbona wewe ni mburula Sana. Nyie ccm si ndo hua mnasomba watoto wetu wa shule kujaza mikutano yenu?
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Nchi hii bado ina safari ndefu kwelikweli.wanaharibu mkutano wa chama ambacho kila siku wanasema kimekufa? Hawa hawana tofauti na shetaniHapa ni Kasulu mjini Jana, Vijana wa kipumbavu wa CCM wamekubali kurubuniwa na Wapumbavu waharibu mkutano wa CHADEMA bahati mbaya Mkutano ukafanyika jioni.
Wakashindwa kusubiria Hadi jioni kutokana na kushinda njaa. View attachment 2629703View attachment 2629704View attachment 2629704
Na hizo picha nimepiga mwenyeweNchi hii bado ina safari ndefu kwelikweli.wanaharibu mkutano wa chama ambacho kila siku wanasema kimekufa? Hawa hawana tofauti na shetani
Duh hawa watu wapo mbali sana na ukweliNa hizo picha nimepiga mwenyewe
Njaa, ujinga na maradhi vinawasumbuaDuh hawa watu wapo mbali sana na ukweli
Sukuma Gang mavi yanagonga chupi mkiona jinsi Chadema inavyokubalika. Mngejua kuwa adui yenu siyo Chadema mngejikita kumkabili adui yenu kuliko kupoteza muda wenu kuhangaika na Chadema.Ni kwa nia njema tu katika kulinda haki za watoto.
Kwenye picha za mikutano ya chadema utaona idadi kubwa ya watoto pengine kuliko hata watu wazima. Hii si sawa.
Akili ya watoto haina uwezo wa kupambanua mambo yanayohusu siasa. Badala yake watawatengezea tu msongo wa mawazo.
View attachment 2629690
Kuna njaaNjaa, ujinga na maradhi vinawasumbua