Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
SALUM Mwalimu anatuambia wamepeleka barua kwa Spika kumweleza hukumu ya mahakama iliowapiga chini kina Mdee na kwa sasa awatoe bungeni.
Wamechemka tena.
Anaemtangazia Spika, na anaeitangazia nchi, nani ni mbunge wa wapi kutoka chama gani sio Salum Mwalimu bali ni Tume ya Taifa Uchaguzi.
Salum Mwalimu aelekeze barua yake kwa Tume ya Uchaguzi.
Spika hawezi kufanyia kazi barua ya Salum Mwalimu au ya John Mnyika halafu kesho kutwa ikaja barua ya Freeman Mbowe imeamua kuwasamehe kina Mdee.
Wamechemka tena.
Anaemtangazia Spika, na anaeitangazia nchi, nani ni mbunge wa wapi kutoka chama gani sio Salum Mwalimu bali ni Tume ya Taifa Uchaguzi.
Salum Mwalimu aelekeze barua yake kwa Tume ya Uchaguzi.
Spika hawezi kufanyia kazi barua ya Salum Mwalimu au ya John Mnyika halafu kesho kutwa ikaja barua ya Freeman Mbowe imeamua kuwasamehe kina Mdee.