CHADEMA wachemka tena, wapeleka barua ya hukumu kusiko

CHADEMA wachemka tena, wapeleka barua ya hukumu kusiko

Nyie ndiyo wagonjwa kwani kama milishaga wakataa wanawasumbua nini tena? Simuwaache sasa endeleeni na kesi imerudi mlijuwa limeisha bado sanaaa Wacha wale Hela ya ubunge kupitia chadema
Wagonjwa waina yako huwa hawajijui, hatukushangai ila tunakuombea uponyaji ili hatimae kulitibu Taifa zima
 
Mnapotumia kauli za matusi ndo tunapozidi kuona kwamba Chama kimejaa wahuni,so haina haja ya kuwatoa walioko bungeni,Hamna Watu wengine mbadala wanaojiheshimu,mana mtatuletea wavuta Bangi kama yule anayejiita TAITA.
Kipindi hiki mnatakiwa kuwa na sura Na tabia za huruma ili waume zenu wachaguliwe viti maalumu.
Kweli kabisa. CCM kinejaa wahuni.
 
Kundi la Halima leo wamechangia bungeni. Obviously Spika hasubiri hukumu.

Cover your bases. Peleka barua au majina mapya TUME.
Wanaokupinga, kukutukana na kukejeli ni wafuasi kama nyumbu. Spika wanayemdanga maamuzi yake ya kuendelea kuwa na hao Wabunge, ni Dr wa Sheria aliyebobea
 
Mbo
SALUM Mwalimu anatuambia wamepeleka barua kwa Spika kumweleza hukumu ya mahakama iliowapiga chini kina Mdee na kwa sasa awatoe bungeni.

Wamechemka tena.

Anaemtangazia Spika, na anaeitangazia nchi, nani ni mbunge wa wapi kutoka chama gani sio Salum Mwalimu bali ni Tume ya Taifa Uchaguzi.

Salum Mwalimu aelekeze barua yake kwa Tume ya Uchaguzi.

Spika hawezi kufanyia kazi barua ya Salum Mwalimu au ya John Mnyika halafu kesho kutwa ikaja barua ya Freeman Mbowe imeamua kuwasamehe kina Mdee.
Mbona kopi nyingine wamepeleka pia ofisi za time ya uchaguzi
 
SALUM Mwalimu anatuambia wamepeleka barua kwa Spika kumweleza hukumu ya mahakama iliowapiga chini kina Mdee na kwa sasa awatoe bungeni.

Wamechemka tena.

Anaemtangazia Spika, na anaeitangazia nchi, nani ni mbunge wa wapi kutoka chama gani sio Salum Mwalimu bali ni Tume ya Taifa Uchaguzi.

Salum Mwalimu aelekeze barua yake kwa Tume ya Uchaguzi.

Spika hawezi kufanyia kazi barua ya Salum Mwalimu au ya John Mnyika halafu kesho kutwa ikaja barua ya Freeman Mbowe imeamua kuwasamehe kina Mdee.

Tume hiyo hiyo iliyo gushi barua kuwa Chadema wamewachagua wabunge wakati sio kweli! Hii ni aibu kwa nchi . Sijaona strategy hapa yoyote ya kuwakomoa Chadema ambao wako kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na CCM na Raisi wa nchi. Yaani hata Raisi na Kinana watakuwa waishangaa hii tume na siasa za kitoto. Tume inabidi ijiulize kwanini hata Raisi amepuuza jitihada zao za siasa mpaka wakaanza kuongea na Chadema moja kwa moja!. Spika na tume wametupiwa tufe la moto ambalo wakizidi kukaa nalo ndiyo litazidi kula mahakama wamekuwa smart kuamua haraka

Chadema wamefanya kwa kumbukumbu tu ili wasije kusema Chadema hawajapeleka barua
 
NEC haiwezi kufanyia kazi nakala. Salum Mwalimu kasema.kapelela nakala Tume

TUME inajibuje nakala ya barua ambayo sio yao ?

Cover all your bases, peleka direct letter TUME.

Salim Mwalimu was goofy on the podium. Anatuambia wananchi tuwe watulivu. Kwani lini tumefanya fujo?

Don't lecture us. Do your job. Peleka barua TUME!
Tuache kutafuta kichaka kwamba mahakama ikitoa hukumu basi ni mpaka barua ifikishwe na CHADEMA? Kwamba mwanasheria mkuu kazi yake ni nini while kwenye kesi alihusishwa?

Hata Lissu aliposhambuliwa kuna watu mlisema arudi nchini Ili polis wafanye uchunguzi. Hadi unajiuliza je angekufa uchunguzi usingefanyika??

Kwanini ni upinzani tu ndio wanapewa burden of proof, kwamba serikali haina machinery za kutrack mienendo ya kesi Ili kutekeleza hukumu za mahakama?? Mbona Lissu alivuliwa ubunge same day NEC ikatoa taarifa Jimbo liko wazi!! Kesi alifungua akiwa raia sio mbunge but why Hawa wanawake wanalindwa?
 
Kwani uwamuzi wa mahakama anapaswa kupelekewa kwani amestakiwa yeye
 
Ficha Ujinga wako toka lini Tume ya uchaguzi ikaitaarifu Bunge kuwa kuna viti vya ubunge vipo wazi wew kibwetele?
Tume inataarifiwa na Bunge kuwa kuna viti labda vya ubunge vipo wazi hivyo iaandae uchaguzi sio kazi ya tume kujua nani ni Mbunge na nani sio Mbunge.

PRESS RELEASE
Agosti 3, 2021

TUME ya Taifa ya uchaguzi imetangaza jimbo la Konde kuwa wazi baada ya Chama Cha Mapinduzi kuiandikia barua kuifahamisha kwamba Bwana SHEHA MPENDAFAKI sio mteule wao tena.
____________________

CCM hapo hawakuacha nafasi ya kufanya ajizi, wali cover their bases.

Salim Mwalimu, you should cover your bases. Usitupe lecture za wananchi tuwe watulivu. Wananchi hatujawahi kuifanyia fujo CHADEMA. Do your job.

Ifahamishe TUME majina kutoka CHADEMA.
 
Huu uchafu uliopo bungeni uliyosababishwa na uchafuzi wa 2020 unamdhalilisha rais Samia, spika wa bunge na taifa kwa ujumla. Siyo suala la kufurahia.

Kwann spika alipowakingia kifua hakusubiri barua ya tume lkn kwenye kuwaondoa ndiyo anasubiri barua ya tume?
Kama mnasema uchaguzi wa 2020 si halali na ndo mana hamkumtambua JPM halafu uchaguzi huo huo ndo ulimpitisha Rais Samia kama makamo ila sasa mnamtambua na hatujafanya uchaguzi mwengine! Huku ni kunyumbuka na kutojielewa kwa ufipa kulikopitiliza!

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Mnapotumia kauli za matusi ndo tunapozidi kuona kwamba Chama kimejaa wahuni,so haina haja ya kuwatoa walioko bungeni,Hamna Watu wengine mbadala wanaojiheshimu,mana mtatuletea wavuta Bangi kama yule anayejiita TAITA.
Kipindi hiki mnatakiwa kuwa na sura Na tabia za huruma ili waume zenu wachaguliwe viti maalumu.
Kumbuka Marehemu Beni alisema wapinzani ni wapumbavu! Tusi zito na la wazi

Kwa hiyo naye ni muhuni, mvuta bangi etc, maana mfumo wa upinzani upo halali kisheria!?
 
Kunatatizo la kisheria ambalo lisipopatiwa ufumbuzi litaendelea kusumbua.

Mahakama haijasikiliza kesi ya Covid 19 kwakuwa walikosea kumtaja mlalamikiwa hivyo wakirekebisha wakamtaja mlalamikiwa sahihi kesi itasikilizwa SASA hii hatua ya wafukuzwe ubunge inakujaje? Na kama hoja precedent ya kesi ya Lipumba na kina Zito ambazo hata hazihitaji Elimu kubwa kwamba kama hazikuzingatia matakwa ya katiba zinakuwa batili.
Hatuwezi Kuwa na mifano ya zamani ambayo ilikiuka matakwa ya kikatiba na kutaka yaendelee.
 
Kumbuka Marehemu Beni alisema wapinzani ni wapumbavu! Tusi zito na la wazi

Kwa hiyo naye ni muhuni, mvuta bangi etc, maana mfumo wa upinzani upo halali kisheria!?

Mfumo wa upinzani Upo halali kisheria na kikatiba, ila wanachama wa hicho Chama chenu naisi hawako halali na timamu kiakili.
 
Tundu Lissu alifukuzwa na parliamentary rules. Spika ndio arbiter wa parliamentary rules, kwa hiyo Spika akaiambia TUME,na TUME ikaitangazia dunia kwamba jimbo la Tundu Lissu liko wazi.

Mdee na wenzake wamefukuzwa na constitutional rules. CHADEMA inapaswa kuelekeza hoja zao za kikatiba kwa TUME, TUME itaitangazia nchi na Spika nani ni mbunge wapi kutoka chama gani kuanzia lini.
Hili swala la covid 19 linatia kinyaa. Ni mpuuzi tu awezayeshupaza shingo. Kujua ukweli
Wakat si milele
 
Back
Top Bottom