Duuuh!Mleta mada ni bure kabisa
Kwani Tundu Lisu alifukuzwa ubunge na NEC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh!Mleta mada ni bure kabisa
Kwani Tundu Lisu alifukuzwa ubunge na NEC?
Wagonjwa waina yako huwa hawajijui, hatukushangai ila tunakuombea uponyaji ili hatimae kulitibu Taifa zimaNyie ndiyo wagonjwa kwani kama milishaga wakataa wanawasumbua nini tena? Simuwaache sasa endeleeni na kesi imerudi mlijuwa limeisha bado sanaaa Wacha wale Hela ya ubunge kupitia chadema
Kweli kabisa. CCM kinejaa wahuni.Mnapotumia kauli za matusi ndo tunapozidi kuona kwamba Chama kimejaa wahuni,so haina haja ya kuwatoa walioko bungeni,Hamna Watu wengine mbadala wanaojiheshimu,mana mtatuletea wavuta Bangi kama yule anayejiita TAITA.
Kipindi hiki mnatakiwa kuwa na sura Na tabia za huruma ili waume zenu wachaguliwe viti maalumu.
Wanaokupinga, kukutukana na kukejeli ni wafuasi kama nyumbu. Spika wanayemdanga maamuzi yake ya kuendelea kuwa na hao Wabunge, ni Dr wa Sheria aliyebobeaKundi la Halima leo wamechangia bungeni. Obviously Spika hasubiri hukumu.
Cover your bases. Peleka barua au majina mapya TUME.
CCM mwenzio huyoooMleta mada ni bure kabisa
Kwani Tundu Lisu alifukuzwa ubunge na NEC?
Mbona kopi nyingine wamepeleka pia ofisi za time ya uchaguziSALUM Mwalimu anatuambia wamepeleka barua kwa Spika kumweleza hukumu ya mahakama iliowapiga chini kina Mdee na kwa sasa awatoe bungeni.
Wamechemka tena.
Anaemtangazia Spika, na anaeitangazia nchi, nani ni mbunge wa wapi kutoka chama gani sio Salum Mwalimu bali ni Tume ya Taifa Uchaguzi.
Salum Mwalimu aelekeze barua yake kwa Tume ya Uchaguzi.
Spika hawezi kufanyia kazi barua ya Salum Mwalimu au ya John Mnyika halafu kesho kutwa ikaja barua ya Freeman Mbowe imeamua kuwasamehe kina Mdee.
SALUM Mwalimu anatuambia wamepeleka barua kwa Spika kumweleza hukumu ya mahakama iliowapiga chini kina Mdee na kwa sasa awatoe bungeni.
Wamechemka tena.
Anaemtangazia Spika, na anaeitangazia nchi, nani ni mbunge wa wapi kutoka chama gani sio Salum Mwalimu bali ni Tume ya Taifa Uchaguzi.
Salum Mwalimu aelekeze barua yake kwa Tume ya Uchaguzi.
Spika hawezi kufanyia kazi barua ya Salum Mwalimu au ya John Mnyika halafu kesho kutwa ikaja barua ya Freeman Mbowe imeamua kuwasamehe kina Mdee.
Tuache kutafuta kichaka kwamba mahakama ikitoa hukumu basi ni mpaka barua ifikishwe na CHADEMA? Kwamba mwanasheria mkuu kazi yake ni nini while kwenye kesi alihusishwa?NEC haiwezi kufanyia kazi nakala. Salum Mwalimu kasema.kapelela nakala Tume
TUME inajibuje nakala ya barua ambayo sio yao ?
Cover all your bases, peleka direct letter TUME.
Salim Mwalimu was goofy on the podium. Anatuambia wananchi tuwe watulivu. Kwani lini tumefanya fujo?
Don't lecture us. Do your job. Peleka barua TUME!
CCM imebaki na mwanachama mmoja tu mwenye akili timamu. Ni John pekee wengine wote Mazuzu tu.Mleta mada ni bure kabisa
Kwani Tundu Lisu alifukuzwa ubunge na NEC?
Ficha Ujinga wako toka lini Tume ya uchaguzi ikaitaarifu Bunge kuwa kuna viti vya ubunge vipo wazi wew kibwetele?
Tume inataarifiwa na Bunge kuwa kuna viti labda vya ubunge vipo wazi hivyo iaandae uchaguzi sio kazi ya tume kujua nani ni Mbunge na nani sio Mbunge.
Kama mnasema uchaguzi wa 2020 si halali na ndo mana hamkumtambua JPM halafu uchaguzi huo huo ndo ulimpitisha Rais Samia kama makamo ila sasa mnamtambua na hatujafanya uchaguzi mwengine! Huku ni kunyumbuka na kutojielewa kwa ufipa kulikopitiliza!Huu uchafu uliopo bungeni uliyosababishwa na uchafuzi wa 2020 unamdhalilisha rais Samia, spika wa bunge na taifa kwa ujumla. Siyo suala la kufurahia.
Kwann spika alipowakingia kifua hakusubiri barua ya tume lkn kwenye kuwaondoa ndiyo anasubiri barua ya tume?
Kumbuka Marehemu Beni alisema wapinzani ni wapumbavu! Tusi zito na la waziMnapotumia kauli za matusi ndo tunapozidi kuona kwamba Chama kimejaa wahuni,so haina haja ya kuwatoa walioko bungeni,Hamna Watu wengine mbadala wanaojiheshimu,mana mtatuletea wavuta Bangi kama yule anayejiita TAITA.
Kipindi hiki mnatakiwa kuwa na sura Na tabia za huruma ili waume zenu wachaguliwe viti maalumu.
Barua imeambatana na hukumu, hivi unafahama maana covering letter!?Sasa kama Spika kasema anasubiri hukumu barua ya CHADEMA ni hukumu ????
Kumbuka Marehemu Beni alisema wapinzani ni wapumbavu! Tusi zito na la wazi
Kwa hiyo naye ni muhuni, mvuta bangi etc, maana mfumo wa upinzani upo halali kisheria!?
Hili swala la covid 19 linatia kinyaa. Ni mpuuzi tu awezayeshupaza shingo. Kujua ukweliTundu Lissu alifukuzwa na parliamentary rules. Spika ndio arbiter wa parliamentary rules, kwa hiyo Spika akaiambia TUME,na TUME ikaitangazia dunia kwamba jimbo la Tundu Lissu liko wazi.
Mdee na wenzake wamefukuzwa na constitutional rules. CHADEMA inapaswa kuelekeza hoja zao za kikatiba kwa TUME, TUME itaitangazia nchi na Spika nani ni mbunge wapi kutoka chama gani kuanzia lini.