CHADEMA wachemka tena, wapeleka barua ya hukumu kusiko

Kukurupuka si kuzuri, lengo la kupeleka hukumu lilikuwa ni kukazia tu kuwa uamuzi wao wa kuwafukuza uanachama uko palepale kwani ni sahihi, Chadema hawahusiki na ubunge wao ila wao hawawatambui hao 19 wanaoitwa wabunge wa Chadema.
 
Ni kama una Chuki binafsi na huyo Mwalimu
 
Tume ya uchaguzi inahusika vipi na wabunge waliokosa sifa za kuwa wabunge?Kazi ya tume ni masuala ya uchaguzi na kujaza nafasi zilizo wazi huko bungeni!
 
ulitaka wapeleke Lumumba ndugu ili roho yako isuuzike ?
 
Nina chuki binafsi na Salim Mwalimu ???

Hahahahaaa!

Hoja za Mswahili siku zote zinaishia na defense ya "una chuki binafsi... wivu wa kike.... fitna za mke mwenza.... una husda za kikabila." And more, and worse.
Tulia alishasema anasubiri maamuzi ya Mahakama

Hilo la NEC ni lako wewe ambaye siyo Daktari wa sheria
 
Samia na spika walitokana na uchaguzi upi?
 
Sasa kama Spika kasema anasubiri hukumu barua ya CHADEMA ni hukumu ????
Imeambatanishwa na nakala ya hukumu Ili Spika asijekusema hajaona hukumu!Hiyo ni kumpa taarifa tu,ni kama kina Halima walivyompa taarifa Spika kuwa Kuna kesi na yeye Spika akasema ni kazi yake kujiridhisha kama ni kweli na akafanya hivyo!Sasa hapo amepewa taarifa Ili ajue hukumu na ajiridhishe,asijesema hajasikia popote juu ya hukumu hiyo!
Sijui umeelewa au utaendelea kukomaa na ujuaji wako?Hapa NEC hahusiki,NEC atapewa tu taarifa na Spika kuwa Kuna nafasi ziko wazi!
 

Kundi la Halima leo wamechangia bungeni. Obviously Spika hasubiri hukumu.

Cover your bases. Peleka barua au majina mapya TUME.
 
Jinga mkubwa
 
Anajua sn
 
Fido Fido alisema anasubiri hukumu ya court ili atoe uamuzi.

Sasa wewe vipi tena unapindisha uelekeo?

Mnapotumia kauli za matusi ndo tunapozidi kuona kwamba Chama kimejaa wahuni,so haina haja ya kuwatoa walioko bungeni,Hamna Watu wengine mbadala wanaojiheshimu,mana mtatuletea wavuta Bangi kama yule anayejiita TAITA.
Kipindi hiki mnatakiwa kuwa na sura Na tabia za huruma ili waume zenu wachaguliwe viti maalumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…