Pre GE2025 CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM

Pre GE2025 CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi mtu akukute una fanya kubishana na mwizi wa vyeti ata kuelewaje.
Chadema msipate shida ya kumjibu muuaji. Tusubiri siku ifike tuingie road. Tuachane na wachumia tumbo
 
Tuliyasema mapema sana humu kuhusu mkenge aliyoingia mbowe kwenye masuala ya maridhiano ya kinafiki na usiri!!. Mbowe aubebe msalaba huu ni wake... Ndio maana hata chama hakina hoja ya kujibu!.
 
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Tayari washamjibu hapo
 
CHADEMA hawana uwezo wala nguvu wala ubavu wa aina yoyote ile kupambana na Mheshimiwa Makonda katika majukwaa ya kisiasa na hata katika mjadala wa aina yoyote ile .Makonda mmoja ni sawa na kamati kuu nzima ya CHADEMA na bado hawawezi kumudu vishindo na hoja za Mheshimiwa Makonda. Wanamuelewa vyema Makonda ndio maana wanakimbia vimvuli vyao
Sawa timu mwenezi ni maoni yako,hata wanatimu wenzio wameyaona🤔
 
CHADEMA hawana uwezo wala nguvu wala ubavu wa aina yoyote ile kupambana na Mheshimiwa Makonda katika majukwaa ya kisiasa na hata katika mjadala wa aina yoyote ile .Makonda mmoja ni sawa na kamati kuu nzima ya CHADEMA na bado hawawezi kumudu vishindo na hoja za Mheshimiwa Makonda. Wanamuelewa vyema Makonda ndio maana wanakimbia vimvuli vyao
umesahau kuweka namba ya simu wee mataco
 
Kama kweli hiyo ni kauli ya Chadema basi kuna kila haki ya kutokukipa dhamana hiki chama.

Kimejaa watu ambao hawana misimamo na waoga mno.

Chama kizima kinawezaje kususa kisa mtu mmoja??

Yaani Makonda tu anawaondoa kwenye reli peke yake.?

Ndio maana mwaka wa 30 huu hawajanusa hata kunusa kushika dola.
Makonda hana adhi ya kujibizana na chadema period
 
Great move kwa Chadema, hawapaswi kujibizana na Makonda. Na hii iwe mara ya mwisho kujibu hoja zake.
CHADEMA hanawana uwezo wa kihoja kujibizana na Makonda maana wamezoea kuokoteza vihabari na kwenda na upepo wa vimatukio.
 
Hivi mtu akukute una fanya kubishana na mwizi wa vyeti ata kuelewaje.
Chadema msipate shida ya kumjibu muuaji. Tusubiri siku ifike tuingie road. Tuachane na wachumia tumbo
Pombe ikikuisha kichwani mwako utakuja kufuta ujinga wako hapa.huko barabarani unaingia na wanao? Mbowe tu watoto wake hawajawahi kuingia barabarani. Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kuwaunga mkono mafisi wa CHADEMA na kuandamana kwa ajili ya kuunga mkono uroho ,ulafi na ufisi wa CHADEMA wa kuhitaji kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo.
 
Pombe ikikuisha kichwani mwako utakuja kufuta ujinga wako hapa.huko barabarani unaingia na wanao? Mbowe tu watoto wake hawajawahi kuingia barabarani. Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kuwaunga mkono mafisi wa CHADEMA na kuandamana kwa ajili ya kuunga mkono uroho ,ulafi na ufisi wa CHADEMA wa kuhitaji kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo.
😁😁😁😁😁 njaaa itakuuwa brother ccm hawanaga maana we shauli yako, ccm wanajuana vizazi kwa vizazi wewe unatumiwa kama toilet pepper mda wako ukiisha utatupwa kama wenzako walio kutangulia, walikuwepo buku 7 leo wapo wap??
 
Back
Top Bottom