Pre GE2025 CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM

Pre GE2025 CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
UAMUZI WA BUSARA KABISA MWACHENI MAKONDA APIGE KELELE ATACHOKA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Makonda amewaita Chadema kwenye mdahalo waende wakajibizane uko ndio siasa zenyewe .
 
Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .

Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.

Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.

Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Mimi nadhani kufanya maridhiano na chama tawala "ni kujidanganya kabisa". Maridhiano huwa ni katika mambo ambayo yametokea na yakaathiri/jeruhi jamii kama ilivyotokea kwa Afrika Kusini au Rwanda. Lakini katika ushindani wa kisiasa hakuna cha maridhiano, ni kupoteza muda. Uza sera zako na waachie wananchi waamue. Wakati mwingine sheria zinaweza kuwa kandamizi. Piga kelele wananchi waone jinsi hizo sheria zilivyokandamizi na waachie wao wafanya uamuzi na wewe usichoke kupiga kelele hata kama itachukua miaka na karne. Lakini kudhani kwamba chama tawala kitaona hapa kinafanya rough kirekebishe ni kujidanganya. Ikitokea kikarekebisha ina maana kimepata mbadala wake. Ni kama unapokwenda kununua bidhaa kwenye duka A na mwenye duka akakupa pipi. Usidhani kamafanya hivyo kwa kupata hasara kwamba ameokuonea huruma wewe mnunuaji. Ina maana kama amekupa pipi, anajua bei yake ameshaiweka kwenye bidhaa uliyonunua. We need to be 'politically enlightened'.
 
Andika basi heading kwa ufasaha.... 'hawatajibizana' siyo 'awatajizana'
 
Back
Top Bottom