Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UAMUZI WA BUSARA KABISA MWACHENI MAKONDA APIGE KELELE ATACHOKALeo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .
Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.
Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.
Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Mdude na mabangi yake kichwani ni nani atakaa kujadiliana naye?
Naona mafisi na manyumbu wa CHADEMA mmeshapaniki baada ya kuona mitaani mkizomewa na kupingwa kwa kauli zenu za kijinga na kihayawani. Nyumbu wewe..Na Bashite na makalio yake makubwa nani atajadiliana naye?
Makonda amewaita Chadema kwenye mdahalo waende wakajibizane uko ndio siasa zenyewe .Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .
Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.
Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.
Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Mimi nadhani kufanya maridhiano na chama tawala "ni kujidanganya kabisa". Maridhiano huwa ni katika mambo ambayo yametokea na yakaathiri/jeruhi jamii kama ilivyotokea kwa Afrika Kusini au Rwanda. Lakini katika ushindani wa kisiasa hakuna cha maridhiano, ni kupoteza muda. Uza sera zako na waachie wananchi waamue. Wakati mwingine sheria zinaweza kuwa kandamizi. Piga kelele wananchi waone jinsi hizo sheria zilivyokandamizi na waachie wao wafanya uamuzi na wewe usichoke kupiga kelele hata kama itachukua miaka na karne. Lakini kudhani kwamba chama tawala kitaona hapa kinafanya rough kirekebishe ni kujidanganya. Ikitokea kikarekebisha ina maana kimepata mbadala wake. Ni kama unapokwenda kununua bidhaa kwenye duka A na mwenye duka akakupa pipi. Usidhani kamafanya hivyo kwa kupata hasara kwamba ameokuonea huruma wewe mnunuaji. Ina maana kama amekupa pipi, anajua bei yake ameshaiweka kwenye bidhaa uliyonunua. We need to be 'politically enlightened'.Leo Makonda ameita vyombo vya habari, ameeleza mengi kuhusu kauli ya Mbogwe kuhusu kujiondoa kwenye maridhiano. Amedai Mbowe ni mnufaika wa maridhiano na kwamba kama siyo maridhiano angekuwa yupo gerezani .
Kwa upande wake chadema imeeleza kutojibizana na kauli yoyote ya Makonda kwani kufanya hivyo nikumpa uhalali wa kusimama kwenye majukwaa ya kisiasa huku kila mtu akifahamu mambo mabaya aliyowatendea . Wamedai kumsaidia Makonda ni njia nzuri yakutuma ujumbe kwa CCM kwamba nchi haiwezi kuendelea kukumbatia waalifu katika mfumo wa kutafuta haki.
Wameeleza pia kwamba tangu aingie ofisini mambo yote yanayohusu maridhiano yamefifia na katibu mkuu wake alimkataa na kuamua kujiuzulu.
Je, chadema watafanikiwa kwa kususa kushirikiana na kupambana kisiasa na Makonda? Endapo wakiamua kutekeleza kususa huku Makonda atapambana na nani? Au atakuwa anakosoa na kijijibu?
Umemaanisha ni wajinga, wajuaji na wapumbavu ndiyo maana hawawezi kujibizana au!?Ujinga ujuaji na upumbavu
Hapana wakikaa kimya itaonekana anachosema ni kweli, kazi ya siasa ni kushindana kwa hoja pamoja na uongoHuyu ni below your dignity, ni kijidhàraulisha!
Acha kudekadeka.Angeandika makala ndefu kama mkojo wa asubuhi inayofanana na ya Lucas Mwashambwa napo ungelalamika.Thread tayari!
Hii kula ugoro mchana jua kali
Kwa level yako huwezi kuelewa. Unajua maana na effect ya to ignore somebody?Thread tayari!
Hii kula ugoro mchana jua kali
Huyu ni zaidi ya shetaniBashiteee.
View attachment 2871735
MWACHENI ABEABWAJE HUYOBashiteee.
View attachment 2871735