Pre GE2025 CHADEMA wadai hawatajibizana kwa namna yoyote ile na Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi mtu akukute una fanya kubishana na mwizi wa vyeti ata kuelewaje.
Chadema msipate shida ya kumjibu muuaji. Tusubiri siku ifike tuingie road. Tuachane na wachumia tumbo
 
Tuliyasema mapema sana humu kuhusu mkenge aliyoingia mbowe kwenye masuala ya maridhiano ya kinafiki na usiri!!. Mbowe aubebe msalaba huu ni wake... Ndio maana hata chama hakina hoja ya kujibu!.
 
Tayari washamjibu hapo
 
chadema waje kwenye mdahalo wa wazi

hii ndio siasa safi kokote duniani na CCM ndio baba wa siasa safi afrika
 
Sawa timu mwenezi ni maoni yako,hata wanatimu wenzio wameyaonaπŸ€”
 
umesahau kuweka namba ya simu wee mataco
 
Makonda hana adhi ya kujibizana na chadema period
 
Great move kwa Chadema, hawapaswi kujibizana na Makonda. Na hii iwe mara ya mwisho kujibu hoja zake.
CHADEMA hanawana uwezo wa kihoja kujibizana na Makonda maana wamezoea kuokoteza vihabari na kwenda na upepo wa vimatukio.
 
Hivi mtu akukute una fanya kubishana na mwizi wa vyeti ata kuelewaje.
Chadema msipate shida ya kumjibu muuaji. Tusubiri siku ifike tuingie road. Tuachane na wachumia tumbo
Pombe ikikuisha kichwani mwako utakuja kufuta ujinga wako hapa.huko barabarani unaingia na wanao? Mbowe tu watoto wake hawajawahi kuingia barabarani. Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kuwaunga mkono mafisi wa CHADEMA na kuandamana kwa ajili ya kuunga mkono uroho ,ulafi na ufisi wa CHADEMA wa kuhitaji kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo.
 
Hapa makonda pale chalamila 😁😁😁
 
😁😁😁😁😁 njaaa itakuuwa brother ccm hawanaga maana we shauli yako, ccm wanajuana vizazi kwa vizazi wewe unatumiwa kama toilet pepper mda wako ukiisha utatupwa kama wenzako walio kutangulia, walikuwepo buku 7 leo wapo wap??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…