Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamekasirishwa na kitendo kinachodaiwa kufanywa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi kuwazuia kushiriki kama chama kwenye msiba wa aliyekuwa mwanachama na Mweka Hakina wa chama hicho Jimbo la Mbagala, Bi Rose Ngangaji.
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Temeke, Hermani Kiloloma amesema msiba ulipotokea wao kama chama walishiriki kikamilifu kwa michango na shughuli nyingine ila wameshangazwa kwa siku hiyo kuambiwa hawatakiwi kushiriki katika msiba huo kwani upo chini ya jeshi, huku bendera za CHADEMA zikiondolewa msibani.
VIDEO: Jambo Online TV
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Temeke, Hermani Kiloloma amesema msiba ulipotokea wao kama chama walishiriki kikamilifu kwa michango na shughuli nyingine ila wameshangazwa kwa siku hiyo kuambiwa hawatakiwi kushiriki katika msiba huo kwani upo chini ya jeshi, huku bendera za CHADEMA zikiondolewa msibani.
VIDEO: Jambo Online TV