CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kwa njia ya kibailojiaKwa njia ya maaandamano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa njia ya kibailojiaKwa njia ya maaandamano?
Sisi hatugombei maiti, waachieni wakazikeSifurahii. Nachoshangaa bado unakauli nyepesi nyepesi kama utawala wa Mbowe, hujui kama utawala huu wa mchaka mchaka? Usiongee kinyonge
Hahaha. Lissu alidhani uenyekiti ni driver wa basi la mwendo kasi, litapita njia yake kufika mjini harakaKwa njia ya kibailojia
usingekuwa mkyundu hivyoZimejaa tele
Analeta posa kwenu akuoe kaa kwa kutulia.Hahaha. Lissu alidhani uenyekiti ni driver wa basi la mwendo kasi, litapita njia yake kufika mjini haraka
Halafu umejaa joho ktk avtari yako.usingekuwa mkyundu hivyo
Wacha wafu wazike wafu waoSisi hatugombei maiti, waachieni wakazike
Kwa maandamano?Analeta posa kwenu akuoe kaa kwa kutulia.
Wewe ruka ruka lakini lazima uoleweKwa maandamano?
Wewe ruka ruka lakini lazima uolewe mahari yako nguruwe 50 wa kisasaKwa maandamano?
Punguza ujinga kidogo. Itakusaidia baadae. Kila ukijamba lisu???Lissu anasemaje?Lissu alisema ktk uongozi sio kama wa Mbowe, atakua mkali
Huyu mzenji mpumbavu sana ninavyojua Wazanzibari ni watu makini lakini huyu makalio ni mpumbavu kupita upumbavu wenyewe.Punguza ujinga kidogo. Itakusaidia baadae. Kila ukijamba lisu???
Ahadi zake zilikua bab kubwaPunguza ujinga kidogo. Itakusaidia baadae. Kila ukijamba lisu???
Na za ccm je? Unafanya assessment za ahadi za lisu aliyeingia madarakani mwezi mmoja uliopita mbona huulizi za ccm za miaka 60 plus baada ya uhiru??Ahadi zake zilikua bab kubwa
Ya kumtoa MboweNa za ccm je? Unafanya assessment za ahadi za lisu aliyeingia madarakani mwezi mmoja uliopita mbona huulizi za ccm za miaka 60 plus baada ya uhiru??
Ulitaka mbowe aongoze milele? Nakushauri ukamkabidhi familia yako ili aongoze mileleYa kumtoa Mbowe
Inawezekana walishindwa kumsaidia akiwa hai, mfano pesa ya matibabu halafu wanasikia kifo ndio wanajifanya makamanda! Waende wakaweke musiba ofisini kwao kama amewauma sana!Inasikitisha, msiba sio kitu cha kumkataza mtu. Aliyetoa maagizo ajitafakari sana, Kila nafsi itaonja umauti.