CHADEMA wadai kuzuiwa msibani kwa mwanachama wao, kufuatia maagizo kutoka juu

CHADEMA wadai kuzuiwa msibani kwa mwanachama wao, kufuatia maagizo kutoka juu

Inawezekana walishindwa kumsaidia akiwa hai, mfano pesa ya matibabu halafu wanasikia kifo ndio wanajifanya makamanda! Waende wakaweke musiba ofisini kwao kama amewauma sana!
Umeandika kama mtoto wa shule kweli. Japo hujasema wa darasa la ngapi ? Sitashangaa kusikia una masters.
Lowasa alitukanwa sana na ccm mbona alipokufa ccm walienda msibani na kuzikwa kitaifa? Tuseme hawakutakiwa kwenda kwa 7babu walimtukana alipokuwa hai na kukihama chama chao?
 

Umeandika kama mtoto wa shule kweli. Japo hujasema wa darasa la ngapi ? Sitashangaa kusikia una masters.
Lowasa alitukanwa sana na ccm mbona alipokufa ccm walienda msibani na kuzikwa kitaifa? Tuseme hawakutakiwa kwenda kwa 7babu walimtukana alipokuwa hai na kukihama chama chao?
Aliisharudi CCM na alistahili kuzikwa kitaifa kwasababu Serikali iligharimia matibabu yake na msiba wake.

Wao Chadema walimtelekeza marehemu akiwa mgonjwa halafu wanaleta kiherehere siku ya msiba? Wana bahati mimi sio mtoto wa marehemu. Wangeipata freshi!
 


Aliisharudi CCM na alistahili kuzikwa kitaifa kwasababu Serikali iligharimia matibabu yake na msiba wake.

Wao Chadema walimtelekeza marehemu akiwa mgonjwa halafu wanaleta kiherehere siku ya msiba? Wana bahati mimi sio mtoto wa marehemu. Wangeipata freshi!
Na ndesamburo je alitelekezwa?
Alphonso mawazo je alitelekezwa?
Wale waliotaka kumuombea dua TAL Je walimtelekeza hata wakakataliwa!?
Wewe ni mtoto wa shule kweli japo sijui wa arasa gani? Una andika kama umrzaliwa jana??
 
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamekasirishwa na kitendo kinachodaiwa kufanywa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi kuwazuia kushiriki kama chama kwenye msiba wa aliyekuwa mwanachama na Mweka Hakina wa chama hicho Jimbo la Mbagala, Bi Rose Ngangaji.

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Temeke, Hermani Kiloloma amesema msiba ulipotokea wao kama chama walishiriki kikamilifu kwa michango na shughuli nyingine ila wameshangazwa kwa siku hiyo kuambiwa hawatakiwi kushiriki katika msiba huo kwani upo chini ya jeshi, huku bendera za CHADEMA zikiondolewa msibani.

VIDEO: Jambo Online TV

Machadema acheni ujinga, nyie kila jambo mnaleta siasa njaa, we uliona wapi msiba wenyewe hawakuhitaji we ung'ang'anie kwenda!!? Ovyo kabisa nyie mnaendesha siasa za matukio tu hamna dira kabisa
 
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamekasirishwa na kitendo kinachodaiwa kufanywa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi kuwazuia kushiriki kama chama kwenye msiba wa aliyekuwa mwanachama na Mweka Hakina wa chama hicho Jimbo la Mbagala, Bi Rose Ngangaji.

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Temeke, Hermani Kiloloma amesema msiba ulipotokea wao kama chama walishiriki kikamilifu kwa michango na shughuli nyingine ila wameshangazwa kwa siku hiyo kuambiwa hawatakiwi kushiriki katika msiba huo kwani upo chini ya jeshi, huku bendera za CHADEMA zikiondolewa msibani.

VIDEO: Jambo Online TV

Hii ni mbaya sana sifikirii kama jeshi la wananchi ninalonifahamu mie limefikia kwenye taswira ya kisiasa!! So, sad indeed!!!!
 
Na ndesamburo je alitelekezwa?
Alphonso mawazo je alitelekezwa?
Wale waliotaka kumuombea dua TAL Je walimtelekeza hata wakakataliwa!?
Wewe ni mtoto wa shule kweli japo sijui wa arasa gani? Una andika kama umrzaliwa jana??
Kwani Ndesa Pesa alizikwa na Chadema? Una Kichaa?
Mawazo sitamzungumzia sana. Akiwa mwalimu yeye na Wenje nilikuwa staff mwenzao. Hata mke wake yule sijui Mwarabu sijui Mhindi yule alikuwa mwanafunzi wangu pia kama ilivyokuwa kwa Mawazo na Wenje. Hata kwenye msiba wake wa kujitakia nilikuwepo. Chadema ilineemeka zaidi kwenye msiba ule kuliko familia ya Mawazo.

Ndio mimi ni Mtoto wa Shule. And I like it!
 
Back
Top Bottom