econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Nashauri chama changu cha CHADEMA waje na mfumo wa Primaries, kwenye Uchaguzi wa kumpata mgombea Urais wa chama 2025. Tena mchakato uanze 2024. Kama wanavyofanya Marekani, hii itaongeza demokrasia kwenye chama na pia wagombea kujitangaza kwa uwazi.
Kura zitapigwa kimkoa au kikanda kulingana na resources. Wanachama wote wa CHADEMA wenye kadi ya uanacha wataruhusiwa kupiga kura kumchagua mgombea urais.
Hii itasaidia kuongeza coverage ya chama. Nakumbuka wakati Mh Mbowe anagombea Urais , mfumo wa Primaries ulitumika kumchagua. Kura zilipigwa kwa Kanda.
Hivyo turudishe huu mfumo, na mkutano mkuu ufanyike mwisho wa Primaries ili kumuidhisha aliyepata kura nyingi kwenye primaries za chama.
Long live CHADEMA, chama cha Watanzania.
Kura zitapigwa kimkoa au kikanda kulingana na resources. Wanachama wote wa CHADEMA wenye kadi ya uanacha wataruhusiwa kupiga kura kumchagua mgombea urais.
Hii itasaidia kuongeza coverage ya chama. Nakumbuka wakati Mh Mbowe anagombea Urais , mfumo wa Primaries ulitumika kumchagua. Kura zilipigwa kwa Kanda.
Hivyo turudishe huu mfumo, na mkutano mkuu ufanyike mwisho wa Primaries ili kumuidhisha aliyepata kura nyingi kwenye primaries za chama.
Long live CHADEMA, chama cha Watanzania.