CHADEMA wakati wenzenu wanaunga mkono juhudi mliwatukana kuwa wamenunuliwa. Je, leo hii nanyi mmetolewa kwa mkopo?

Politics is not static but dyamic lazima uende na wakati
Walounga mkono wakati wa Magu tuliona mpaka madiwani wakihongwa milioni mbili mbili,sasa hivi ni maridhiano baina ya vyama kitu ambacho kwa Chadema kilikuwepo hata na rais JK
 
Meko alifariki kwa ahadi.. Umeongea ujinga mzee
 
Aliyembambika mbowe kesi ni nani?.. amekaa jela muda gani?

Anyway tugeuze, Mikutano ya kisiasa si iliendelea kuzuiwa na mama mpaka maka huu?

Unayatengaje haya yote unayosema ni maumivu na CCM ?
 
Chadema ni too tactical huwezi kuelewa we bwege
 
yani chadema wawe wahuni kuliko nyie wajinga wa ccm majizi na maporaji ya kura, kama kuna wahun dunia hii ccm na wafuas wao ni wahuni na wajinga wasiojielewa.
 
Kumbe ilipotea?
mlisema nyinyi bila kujua chadema iko mioyoni na ukitaka kujua hebu kamuulize yule mzee kemei wa crdb juzjuz aliitisha mkutano kule vunjo kilichomkuta ni yeye na wapambe wake tu kwisha kabisa ccm.
 
mlisema nyinyi bila kujua chadema iko mioyoni na ukitaka kujua hebu kamuulize yule mzee kemei wa crdb juzjuz aliitisha mkutano kule vunjo kilichomkuta ni yeye na wapambe wake tu kwisha kabisa ccm.
Kwani imefanya nini cha ajabu ni huko kujazana kwenye mikutano tu?
 
Hii imekaa vizuri sana.
 
Kwa sasa CCM tupo likizo tunakupa bata. Kazi yetu inafanywa kwa weledi mkubwa na CHADEMA. CHADEMA HOYEEE, ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MBOWE, ADUMU LEMA
 
Vumilia kdg, muda huu tuko kivingine kbs...ila mbeleni mtatuelewa tu
Halafu tukishawaelewa? Hiyo kuvingine ndio kujishobokesha kwa Samia? Maana Lissu anasema Rais Samia anamwita Lissu ni mdogo wake, Sugu anasema Rais Samia ni rafiki yake, Lema mwenye urafiki na Kikwete anasema alimwambia Kikwete ili amfakishie maombi yake kwa Rais Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…