Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC Ni TV ya ajabu duniani. Tena jiepusheni nayo haina watazamaji na nyie mkijiunga nayo hakuna mtu atasoma habari zenu mtazisoma wenyewe.Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa...
Wameanza lini kuandika? Halafu Ndo vizuri kwanza maana watakuwa na uhakika wa kutofungiwa.Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa.
UWHP umewataka waandishi wa habari wa taasisi za habari kote duniani kuisusia Chadema kwa sababu imewadharau.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema hatutawaomba radhi hao vibaraka wa CCMUmoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa.
UWHP umewataka waandishi wa habari wa taasisi za habari kote duniani kuisusia Chadema kwa sababu imewadharau.
Maendeleo hayana vyama!
Msipo andika habari za chadema hizo zingine mnamwandikia nani na nani atazisoma. Ajira yenu ipo mikononi mwa habari za chadema Kama hamna habari.Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa...
Wanapoteza muda tu hao MAMLUKI WA CCM, kuna vyanzo vingi mno vya kupata habari siku hizi.Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa.
UWHP umewataka waandishi wa habari wa taasisi za habari kote duniani kuisusia Chadema kwa sababu imewadharau.
Maendeleo hayana vyama!
Wamebaki waandishi uchwara wanaoandikia yale magazeti lukuki ambayo vichwa vya mbele vya habari ni Magufuri tu!Ni ajabu waandishi wa habari bado wanajiona relevant. In this day and age, information monopoly hakuna tena.