CHADEMA wakaziwa na Umoja wa Waandishi wa Habari Kanda ya Pwani

CHADEMA wakaziwa na Umoja wa Waandishi wa Habari Kanda ya Pwani

Pumbavu hao.. habari zote ziko kiganjani siku hizi!
 
Najiuliza tuu kama chizi, hivi Lisu akishinda hawa waandishi uchwara/makini itakuwaje?
 
Tuseme ule ukweli tuu, kitendo cha Mbowe kuwafukuza TBC hakikuwa cha ustaarabu hata. Jamaa walikuwa wanafuata taratibu zao tuu kama kawaida, daily wanalia uhuru wa habari afu wao ndo hivi daaah

Say something!

Hawa nao fucking dog shit,
Badala ya kuulizia mwenzao Azory Gwanda,yupo wapi mpaka leo,wanaleta njaa zao ili mabwana zao wa ccm wawaone
 
KWA TAARIFA YAO WAJUE WASIPOANDIKA HABARI ZA CHADEMA NA MAGAZETI YAO HAYATAUZIKA SOKONI. NA KAMA WANABISHA WAWAULIZE UHURU.

MAGAZETI YALIYOKUA NA SOKO NI MWANAHALISI, MAWIO, TANZANIA DAIMA NA MWANANCHI. NA NDIO SABABU MAGAZETI YA UPINZANI YALIFUNGIWA ILI KULINDA SOKO LA UHURU NA TANZANITE LAKINI WANANCHI BADO WALIYASUSIA HAYO YOTE YA CCM.
 
Back
Top Bottom