Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Aaah siasa bwana,tukubali tukatae he is the most powerful man in his field.i have seen a lot of chadema members campaining for him kwasababu tu wameshawishika.mi naona tujipe muda,july si mbali...hali kadhalika october si mbali.tutajua who is the last man standing
 
haa haa wa kutokea monduli na makuyuni?

Mkuu ni aibu sana yaani watu wanajiondoa utu wao na kuwa kama magunia ya viazi ulaya,kwa kupakiwa kwenye maroli kisa eti kuja kufuata sh 50000/ kutuka kwa lowasa?
 
Aaah siasa bwana,tukubali tukatae he is the most powerful man in his field.i have seen a lot of chadema members campaining for him kwasababu tu wameshawishika.mi naona tujipe muda,july si mbali...hali kadhalika october si mbali.tutajua who is the last man standing

Ndio umeandika kitu gani?
 
Wajinga ndo waliwao,Arusha sio pwani amini wengi mtajuta kutia maguu apa,kwanza asilimia kubwa mtarushwa izo rushwa sasa pata picha watoto wa mbwa watawafanyaje?
 
Hakuna mtu amekodiwa, kila mtu anaenda kwa mapenzi yale mwenyewe, mimi nimetoka Songea mpaka Arusha sijapewa hata senti tano,,

Sasa wewe wa songea ndio utapiga kura Arusha ? malizeni sarakasi zenu kisha mtasema ohh watu wa Arusha wajinga sana "hapa kauli mbiu ni cha mgema uliwa na mlevi aka kula ccm kulala chadema "
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

We mwana izaya, mwana mtoka pabaya, wenye jiji la Arusha ni hao waliosombwa na malori na maasi kutoka sehemu zote za Tanzania kwa gharama ya mabilioni ya shilingi? Hakuna cha bure, mjiandae ulipa hela za watu...maana Mwenyekiti wenu alisemaga "kula uliwe". Cc Mungi
 
Last edited by a moderator:
Wengin cjui wana vichwa vya panzi kuliko umsifie lowasa bora hata membe tena kidogo kwambali kwanini ujipe stress bora Mara mia ukimsifia rais wa mioyo ya watanzania Dr.w.slaa
 
Acha ujinga wewe watauzaje nchi? Lowasa ndio anakuja kutukomboa Watanzania

Njaa mbaya angalia utumiwayo.
Waandishi wa habari wanaowaambia watanzania kwamba shule za kata alianzisha Lowasa huo ni uwongo ambao unapaswa kulaaniwa na watu wanaosimamia ukweli katika maisha . Shule za kata zimeanza wakati wa utawala wa rais Mkapa miaka ya 2002. Mpango huo wa MMEM na MMES ulioasisiwa na rais mkapa na kusimamiwa na waziri mkuu Sumaye na waziri wa elimu wa wakati huo bila shaka atakuwa Mungai kama sikosei ndio waliosimamia utakelezaji wa mipango ya MMEM na MMES . Tukumbuke mipango hiyo ilianza na crush program iliyolenga kuongeza idadi ya walimu nchini ikazoa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kuwapeleka vyuoni kwa mwaka mmoja na wale wa sekondari wapo waliopata mafunzo ya miezi mitatu ili kuziba pengo la walimu
Lowasa anaingia madarakani tayari shule za kata zilishaanza kujengwa . Lazima tukubaliane Lowasa kaingia madarakani novemba 30, 2005 na kuondoka madarakani kama waziri mkuu february 7 , 2008. Kwa maana hiyo yeye Lowasa kaweza kusimamia bajeti mbili tu katika utawala wake, bajeti ya julai 2006- juni 2007. bajeti ya julai 2007 hadi juni 2008. sasa kwa bajeti hizo mbili tu unaweza kujenga shule za kata nchi nzima. Huo ni uwongo wa dhahiri. tena bajeti yenyewe ya 2007-2008 hakuimalizia kutokana na kuondoka miezi minne kabla ya muda wa bajeti mpya

Waandishi wa habari makanjanja msimpe mtu sifa zisizo zake . shule za kata alizikuta zilizoanzishwa na Sumaye na kuziacha zikaendelezwa kujengwa na waziri mkuu wa sasa Pinda. Tena pinda ndiyo aliyofanya kazi kubwa ya kuhakikisha anaongeza idadi ya walimu nchini kwa kupango mipango mbalimbali kama vile kuajiri walimu wengi wa sekondari na kupeleka vyuoni walimu wengi wa sayansi, kuimarisha mafunzo na semina shirikishi kwa walimu. Leo hii walimu nchi nzima wapo udom dodoma wakipata semina. Sumaye alikazia kujenga madarasa na nyumba za walimu , Lowasa akaendeleza tu jitihada alizozianzisha Sumaye kwa miaka miwili na yeye akakazia kujenga nyumba za walimu na si madarasa kwani miaka ya 2006 ilipigwa marafuku kwa madiwani kwamba shule za sekondari zilizojengwa zinatosha kwa kazi aliyoifanya ni kuboresha madarasa na kujenga nyumba za walimu na kuongeza madawati .

Sifa anazopewa Lowasa kana kwamba yeye ndiye aliyeanzisha huo mpango na wengine waliomtangulia na kumpokea majukumu ya uwaziri mkuu hawajafanya kitu. tunawakatisha tamaa viongozi wetu. Leo hii kila shule ina maabara waziri mkuu atakaye kuja atakuwa na kazi ya kupeleka vifaa tu hii haina maana kwamba sasa tumbeze aliyefanya kazi ya kuzijenga maabara hizo.

Kila mtu apewe sifa zake stahiki na si kumpa mtu sifa kwa sababu ya njaa yako inayokusumbua.
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

Njaa mbaya sana ,MTU anajitoa ufahamu kabisa kwamba ccm inaweza ikaibadilsha tz hata kwa muonekaniko tu
 
Back
Top Bottom