Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Jamani tukubaliane kwa Kauli moja, LOWASSA hazukiliki kirahisi kama mnavyodhani!

Kwa hiyo kwa kuwa hazuiliki CCMajambazi, basi pia hazuiliki kwa wapiga kura mil 20 wa Nchi hii...?!
Kwa hiyo siku hiyo October 25 si tukalale na yeye ataelekea IKULU kiulaiini...
 
Mleta uzi huu kuvuta ile sigara kubwa alafu kaja kuandika utumbo huo humu
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

Mwenyekiti wako alisha toa jina maalumu kwenu la makuwadi,sasa twambie wewe ni kuwadi wa mtia nia yupi?
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!

Kumbe na wewe ni kuwadi wa lowasa?
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!

Angalia kazi ya ukuwadi ni ngumu sana hasa pale anaposhindwa kufanikisha ukuwadi
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

Waendesha boda boda 100, kutoka kila mkoa,waendesha bajaji 100 kutoka kila mkoa, hao watatosha kuonyesha kuwa lowasa anakubalika hata hivyo mjiandae kulia na kusaga meno pale atakapo shindwa kupitishwa na cc yenu kwani ndio utakuwa ndio mwisho wa ccm na ukawa kujichukulia white house kwa ubweeede kabiisa
 
Nendezi mkazikane
LOWASSA (Richmond)
ROSTAM (dowans)
CHENGE (Richmond, EPA, RADA, Escrow)
KALAMAGI (Mikataba ya buzwagi)
LUGEMALILA (Escrow)
Kwa pamoja tunawaita wazee wa madili A.K.A mafisadi NYANGUMI
ndo hawa wanataka urais
Hahhaaaa akyanani walaiiii
Labda awe rais wa Ng'0mbeee ila sio watu!

Mkuu unatisha sana kwa data
 
Lowasa hakuna mtu amemnunua,Tunampenda kwa sababu ni mzalendo.

Angekuwa mzalendo asingeshindwa kukemea rushwa na uonevu dhidi ya raia awapo ndani na nje ya CCM. Pia kuhusu kashifa ya Richmond, asingekaa kimya muda wote hadi aje kuibuka leo anapoutaka urais ndo aseme atatoboa siri. Pia siamini kama ni mzalendo kwasababu ktk team yake yupo na watu wale wale ambao wanashutumiwa kulitafuna taifa kina Nazir Karamagi, Rostam Aziz, Handrew Chenge nk, huwezi kuona hata ukiambiwa!? Kama uongozi wako wa chama ulivyowaita magamba, leo watawasafisha vipi!? Huyu mzee pia ni mtu wa makundi, huoni atagawa asie nacho na kukumbatia walio nacho!? Ogopa kiongozi anayetumia pesa kwenda ikulu. Kama kweli lengo ni kuwatumikia wananchi unasababu gani ya kuwafanyia karamu ili wakupe ridhaa ya uongozi!? Mimi simchukii Lowasa ila nachukia matendo yake ya kupitisha pesa makanisani, misikitini wakati watanzania wanataka maisha bora
 
Mkuu, Jiji lote la Arusha Limepambwa na rangi ya njano na Kijani.. Hakuna dalili ya Chadema hapa mjini

Nani kakwambia kuwa arusha siyo sehemu ya tanzania? Uwanja wa sheikh amri abeid upo pale kibiashara hivyo mtu yeyote analipia na kuutumia,jaribu kutumia anagalau kidogo akili.
 
Mkuu, Jiji lote la Arusha Limepambwa na rangi ya njano na Kijani.. Hakuna dalili ya Chadema hapa mjini

Nipo arusha hapa jiji limejaa mafuso kibao kwa ajili ya kusomba watu toka sehemu mbalimbali kuwaleta hapa jijini.
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!

Pitia hapa chini mtumwa weee!!!



https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/859075-dr-wilbroad-slaa-aanza-ziara-nzito-nyanda-za-juu-kusini-new-post.html
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!

Maneno manene kweli kweli . VIVA Lowassa!
 
Back
Top Bottom