Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

wapambe wa lowasa mna siku 42 tu za kucheka,mnashabikia timu ambayo haitaingia nusu fainali,poleni kwa kuabudu dini msiyo jua Mungu wake,
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,
kuna mabasi matatu yameondoka saa tatu ucku huu toka hapa Nyerere Square - Dodoma
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

Hayo maneno yenu mtayameza soon hamta amini maamuzi ya CC jina la Lowasa lsipo rudi. Hii nchi haitaweza kuongozwa na fisadi. Hivi kwenye akili yako myu anawakumbatia kina Chenge, Rostam ambao ni wezi wazoefu mtegemee atakuwa rais wa Ranzania?? Hiyo chora hapo chini.
 
Ukiweza kuficha siri ya majizi wenzio ndani ya ccm basi wewe ni kada mzuri mchapa kazi mtu wa maamuzi magumu kila sifa utapewa. Hizo ndizo sifa za Lowasa, kilichomfanya asiwataje 2008 ndicho tutakacho mmaliza nacho
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!
Acheni uongo kama ananguvu kiasi hicho mbona huyohuyo Lowasa alimweka Batli Burian agombee Arusha mjini akashindwa pamoja na kumwaga hela akamweka Siyoi Sumari tena mkwe wake pamoja na kutumia pesa nyingi akapigwa chini. Sasa leo hii Arusha kuna wazawa wapya? Angekua anakubalika Arusha kwanini akodi watu toka nje ya Arusha na kuwasafirisha kwa gharama kubwa?
 
Kuonyesha wanavyomuogopa Lowasa na hawataki waTz wamsikie mipango yake maadui wa Lowasa wametumia Tanesco jioni hii kututangazia mitaani kwa gari kwamba kesho hakuta kuwepo umeme tangu saa tatu asubuhi mpaka saa tisa naanza kuona kumbe anafaaa hivi vita si bure.
 
Acheni uongo kama ananguvu kiasi hicho mbona huyohuyo Lowasa alimweka Batli Burian agombee Arusha mjini akashindwa pamoja na kumwaga hela akamweka Siyoi Sumari tena mkwe wake pamoja na kutumia pesa nyingi akapigwa chini. Sasa leo hii Arusha kuna wazawa wapya? Angekua anakubalika Arusha kwanini akodi watu toka nje ya Arusha na kuwasafirisha kwa gharama kubwa?
Lowasa hana nguvu kisiasa ila ananguvu ya pesa,kisiasa Mbowe ameshasema ni bubu
 
Hadi tanesco wametumika kuhakikisha kuwa kesho eneo kubwa la Dar halimuoni na kumsikia Lowasa na shaka sana na baadhi ya ving'amuzi navyo masaa yakisogea tu mtaona NO NETWORK
 
Namashaka na mleta mada inavyo onesha si RAIA wa Tanzania nakama ni kweli basi akili yake haitunzu au haina kabisa kumbukumb kuhusu EPA,RICHMOND na ESCROW ebu soma siasa za ulaya mgombea akishakuw na kashfa hata kidogo haruhusi kugombea ila hapa kwetu wezi mafisadi ndio wanao gombea hii inamaanish kuwa kwl watz tunafananishw na kuku kwamba huna kumbukumb
 
Lowasa akikupa pesa we pokea maana alizo iba anazirudish in directly hizo pesa nizako alikutunziaga2
 
Back
Top Bottom