Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Chadema asanteni kwa kuja na kushiriki Tanzania ni ya Watanzania tuu nafikiria kuna kitu mmejifunza.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Nadhani mwaka huu wamepata funzo sahihi kama la mwaka 2015 halikutosha. Vipigo hivi huanzia kule ndani!..Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Elewa alichokiandika,mbona huwa mnasoma kama unakurupushwa?Tayari Mtwara wana kiti tayari kupitia CUF. Pia Pemba kuna viti vya kutosha kupitia ACT hivyo watapata zaidi ya 20
Wapitia mlango upi ?Msigwa keshapita.
Mdee keshapita.
Lemma keshapita.
Mbowe keshapita.
Sugu keshapita.
Bulaya keshapita.
Matiko keshapita.
Catherine keshapita.
Niendelee?
Mshikaji ana stress sana!Ahaa sasa hata wakikosa mbunge kule kijijini Wazazi wako Baba na Mama wataacha kuvaa kandambili zilizotoboka
Mambo mengine ni vichekesho
Wakipata wabunge wawili wewe ndie utakuwa tajiri kama Barhresa au Mo Dewji
Mkuu kama wewe na ukoo wako ni choka mbaya ni choka mbaya tu
Jaribu kuwasaidia watoto wa ndugu zako kijijini iwe Dada, Binamu au Mjomba
Yaani badala ya kuwaza umaskini wa ukoo wa akina Baptist John wewe unawaza wabunge wa CHADEMA
Kabla ya ubunge wa chadema kwanini wazazi wako hawakuwa matajiri kama Bahresa au Mo Dewji? Miaka ya 1980 au mwanzoni mwa 1990
Wazazi wako walikuwa wapi achana na story za CHADEMA ,
CHADEMA ni taasi imemfanya hata mzazi wako leo apate lami na taa kwa kuwatisha CCM
Nnasubiri yule binti aliyekuwa anamchachafya sana mwana FA kwenye kampeini. Kwa sasa akina Sugu, Haule na Msigwa ambao ndio nilikuwa nawategemea sana kushinda wameshatoka KO. ACT inaweza kupata wabunge kadhaa kutoka Pemba!!Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Tulipungukiwa uwezo wa kuwalipa mawakalaKiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Haya utoe pongez maana si kwa hali iliokuwepo aisee nkasi huko shangaz kasawazishsNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Narudia tena, Tanzania hatuna upinzani wa kweli.Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Tuwapongeze ACT wazalendo na CufNadhani mwaka huu wamepata funzo sahihi kama la mwaka 2015 halikutosha. Vipigo hivi huanzia kule ndani!
Kwani Chadema walileta utofauti gani wakisema siyooo. Maana wamekuwa wakisema hivyo, kutoka nje ya bunge, kufunga midomo tangu 1995.Ccm wanadhani chadema ndo adui yao mkubwa mnajidanganya sana yawezekana ni kweli wasipate mbunge hata mmoja unadhani madhara ni ya mbowe? Lissu ? au sugu? ,tunaenda kuzika rasmi muhimili wa bunge cz wakibaki ccm wenyew itakuwa ni ndiooooooooo kwenda mbele,naililia Tanzania yangu tukutane 2025
Chama cha Mbowe 1,chama cha Lipumba 1.CHADEMA wamepata wabunge wangapi?
Aisee nadhani ni mmoja tu.CHADEMA wamepata wabunge wangapi?
Pesa zote zilikuwa zinaenda kwa mlevi wa konyagi.Tulipungukiwa uwezo wa kuwalipa mawakala
Dah nakuonea huruma sana jinsi gani ulivyo empty kichwani bt umekaa kama bendera fuata upepo 2, zile kashfa za Richmond,meremeta,esrow nani alikuwa founder mpk Zzk alisimamishwa ubunge? Leo hii Sera ya elimu bure mmeicopy wapi? Hoja za kufufua shirika la ndege zimetoka wapi? Usijifanye ujui umuhimu wa vyama mbadalaKwani Chadema walileta utofauti gani wakisema siyooo. Maana wamekuwa wakisema hivyo, kutoka nje ya bunge, kufunga midomo tangu 1995.
mkuu mbona unasahau mapema kauli ya jiwe kufuta upinzani 2020 ama kauli ya T.L kwamba jiwe atapewa kura mil. 12 haya yalisha pangwaNadhani Sasa utakuwa umeelewa alie kichwa tupu kati yako, na hiyo uliemquote.