Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Cuf na act ni moto na petrol,awakai pamoja 😀Tayari Mtwara wana kiti tayari kupitia CUF. Pia Pemba kuna viti vya kutosha kupitia ACT hivyo watapata zaidi ya 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cuf na act ni moto na petrol,awakai pamoja 😀Tayari Mtwara wana kiti tayari kupitia CUF. Pia Pemba kuna viti vya kutosha kupitia ACT hivyo watapata zaidi ya 20
Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Wakala wetu amekufa Usiku Huu baada ya kupigwa na kujeruhiwa vibaya
Kiongozi unatutisha asee ..No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Mpaka sasa hivi hawana hata mbunge mmoja. Watz wameamua hawataki mchezo mchezo eti mtu mzima kabisa anatuletea kututisha na Beberu lake Robert Amsterdam. Sasa arudi kwa mabwana zake huko Ubelgiji.Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Mtu ukileta tathimini hawa vijana wa ufipa wanakimbilia kukutoa akili na matusi juu ila kwa mtu yoyote aliyefanya tathimini ndogo hasa hapa Dsm ameona jinsi CCM ilivyojiandaa kwenye uchaguzi na hali za vyama vingine .
Mawakala wa CCM wanaonekana kabisa ni watu wenye uzoefu na walioandaliwa huku hawa wengine wakileta 60% teenagers wasio na uzoefu wala kujua nini wanapaswa kutofanya na maeneo mengine hakuna mawakala wa upinzani kabisa .
Kituo nilichopiga mimi mawakala wa vyama upinzani hata chakula na maji ya kunywa waliwategemea CCM nikajiuliza sasa hawa hata posho zao watalipwa kweli !
CCM itapata ushindi wa kishindo DSM
Kuna yule jamaa wakumuita Salary Slip nahisi atajinyonya watu waliokaribu yake wamlinde hali yake sio nzuriWafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema) wakiambiwa social media platforms sio ballot boxes wanafungulia floodgate ya matusi. Acha wajifunze kwa maumivu makali!
Hahaha ZAmu yetu kupiga spanaHebu endelea.
Ebu tuambie zaidi tunakuskilizaTayari Mtwara wana kiti tayari kupitia CUF. Pia Pemba kuna viti vya kutosha kupitia ACT hivyo watapata zaidi ya 20
Hahaha jamaaa anachoma,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kazimia huyo pressure inasoma 180/97[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapo wengi kuna mwingine lord defining,Kuna yule jamaa wakumuita Salary Slip nahisi atajinyonya watu waliokaribu yake wamlinde hali yake sio nzuri
We jamà a 😂😂😂😂😂Matokeo Tafadhali Wadau
Kuna yule jamaa wakumuita Salary Slip nahisi atajinyonya watu waliokaribu yake wamlinde hali yake sio nzuri
Mkuu mbona unakimbilia hali ya uchumi ya mtu binafsi? Hao matajiri unaowataja wanahusika nini na hoja iliyopo mezani? Hiyo inakuhusu nini?Ahaa sasa hata wakikosa mbunge kule kijijini Wazazi wako Baba na Mama wataacha kuvaa kandambili zilizotoboka
Mambo mengine ni vichekesho
Wakipata wabunge wawili wewe ndie utakuwa tajiri kama Barhresa au Mo Dewji
Mkuu kama wewe na ukoo wako ni choka mbaya ni choka mbaya tu
Jaribu kuwasaidia watoto wa ndugu zako kijijini iwe Dada, Binamu au Mjomba
Yaani badala ya kuwaza umaskini wa ukoo wa akina Baptist John wewe unawaza wabunge wa CHADEMA
Kabla ya ubunge wa chadema kwanini wazazi wako hawakuwa matajiri kama Bahresa au Mo Dewji? Miaka ya 1980 au mwanzoni mwa 1990
Wazazi wako walikuwa wapi achana na story za CHADEMA ,
CHADEMA ni taasi imemfanya hata mzazi wako leo apate lami na taa kwa kuwatisha CCM
Nadhani Sasa utakuwa umeelewa alie kichwa tupu kati yako, na hiyo uliemquote.Mkuu linda heshima yako kidogo iliyobaki.
Yaani huwa siamini kama umebaki kichwa kitupu, hata kama ni ushabiki mbunge 1 aiseeh