Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.

Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.

Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.

Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.

Maendeleo hayana vyama!

🤣🤣🤣 ni raha sana yakilizwa.

Mara kadhaa nilikuwa nikisema mazuri ya magufuli humu watu wananitukana sana na kusema sijielewi na wakasema mwisho wake ni tar 28 mwezi wa kumi 20220.

Sasa mimi hata CHADEMA wabunge wangeshinda wote ila mimi shida yangu kwenye urais nataka awe Magufuli ili azidi kutunyoosha maana kuna walikuwa na dharau sana na nchi hii wakaifanya kuwa shamba la Bibi.

Magufuli njoo dingi laiii....safari iendeleee.....
 
Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.

Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.

Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.

Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.

Maendeleo hayana vyama!
Mpaka sasa hivi hawana hata mbunge mmoja. Watz wameamua hawataki mchezo mchezo eti mtu mzima kabisa anatuletea kututisha na Beberu lake Robert Amsterdam. Sasa arudi kwa mabwana zake huko Ubelgiji.
 
Mtu ukileta tathimini hawa vijana wa ufipa wanakimbilia kukutoa akili na matusi juu ila kwa mtu yoyote aliyefanya tathimini ndogo hasa hapa Dsm ameona jinsi CCM ilivyojiandaa kwenye uchaguzi na hali za vyama vingine .

Mawakala wa CCM wanaonekana kabisa ni watu wenye uzoefu na walioandaliwa huku hawa wengine wakileta 60% teenagers wasio na uzoefu wala kujua nini wanapaswa kutofanya na maeneo mengine hakuna mawakala wa upinzani kabisa .

Kituo nilichopiga mimi mawakala wa vyama upinzani hata chakula na maji ya kunywa waliwategemea CCM nikajiuliza sasa hawa hata posho zao watalipwa kweli !
CCM itapata ushindi wa kishindo DSM


Ndo tatizo unapa mbinu wanaendekeza bangi
 
Wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema) wakiambiwa social media platforms sio ballot boxes wanafungulia floodgate ya matusi. Acha wajifunze kwa maumivu makali!
Kuna yule jamaa wakumuita Salary Slip nahisi atajinyonya watu waliokaribu yake wamlinde hali yake sio nzuri
 
Ahaa sasa hata wakikosa mbunge kule kijijini Wazazi wako Baba na Mama wataacha kuvaa kandambili zilizotoboka

Mambo mengine ni vichekesho

Wakipata wabunge wawili wewe ndie utakuwa tajiri kama Barhresa au Mo Dewji

Mkuu kama wewe na ukoo wako ni choka mbaya ni choka mbaya tu

Jaribu kuwasaidia watoto wa ndugu zako kijijini iwe Dada, Binamu au Mjomba

Yaani badala ya kuwaza umaskini wa ukoo wa akina Baptist John wewe unawaza wabunge wa CHADEMA

Kabla ya ubunge wa chadema kwanini wazazi wako hawakuwa matajiri kama Bahresa au Mo Dewji? Miaka ya 1980 au mwanzoni mwa 1990

Wazazi wako walikuwa wapi achana na story za CHADEMA ,

CHADEMA ni taasi imemfanya hata mzazi wako leo apate lami na taa kwa kuwatisha CCM
Mkuu mbona unakimbilia hali ya uchumi ya mtu binafsi? Hao matajiri unaowataja wanahusika nini na hoja iliyopo mezani? Hiyo inakuhusu nini?
 
Unaposhindwa kujiandaa Basi unakuwa umejiandaa kushindwa

CDM wangekuwa na nafasi kubwa kama wangeungana na Membe kumpa kiti cha uraisi Salum Mwalimu unampiga makamu na unamchukua Lipumba mnatengeneza consolations na yeye kumuweka kama mshauri wengine unawaweka kama wajenzi wa Baraza la mawaziri lengo ni kupata kura nyingi za wagombea ubunge na kupata wabunge wengi bungeni na madiwani.
Chadema/ACT kuwaza uraisi huku hawajawahi hata kuwa na viti 100 bungeni ilikuwa ni wrong move and immature . Wameongozwa kwa mhemko na kujisahau
 
Kwa hali iliyopo nadhani sijui kama litapatikana hata moja
 
Mkuu linda heshima yako kidogo iliyobaki.

Yaani huwa siamini kama umebaki kichwa kitupu, hata kama ni ushabiki mbunge 1 aiseeh
Nadhani Sasa utakuwa umeelewa alie kichwa tupu kati yako, na hiyo uliemquote.
 
Back
Top Bottom