CHADEMA wakitaka washinde yanayoendelea hawana budi kuwasamehe wabunge 19 Kwa masharti haya

CHADEMA wakitaka washinde yanayoendelea hawana budi kuwasamehe wabunge 19 Kwa masharti haya

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Siasa si uadui!

Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,

Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya

1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!

2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo

3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama

CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU

Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi



Britanicca
 
Are you sure they are interested in your proposition.

What is their inclination towards repentance publicly
 
Siasa si uadui!

Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,

Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya

1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!

2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo

3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama

CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU

Britanicca
Huu ushauri kwa wale vilaza lazima wakutukane wao hata ushauri ni matusi tu

USSR
 
Siasa si uadui!

Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,

Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya

1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!

2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo

3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama

CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU

Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi




Britanicca
Yeah hapo kwenye faini iwe hivyo
 
Siasa si uadui!

Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,

Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya

1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!

2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo

3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama

CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU

Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi




Britanicca
Inatakiwa iwe 200M kwa watu 19....chama kitapata 3.8billion.... kama hataki wajiuzuru uanachama fasta
 
Unajichanganya sana kwenye andiko lako, unataka Chadema iwasamehe hao wanawake 19 [ kuonesha kwamba unaamini walikosea kwenda bungeni bila ridhaa ya chama chao]

Then huko chini unaandika; "sina hakika kama Mdee wana courage ya kwenda bungeni bila ridhaa ya chama chao" hapa unapingana na hoja yako ya mwanzo ya kuomba msamaha, kama unahisi hawakukosea kwanini mwanzo utake waombe msamaha?

Mwisho kama kweli yapo unayoyajua kuhusu hili sakata kwanini usiyaweke hapa tuyajadili? huna jipya; tatizo lako humu jf siku hizi unaishi kwa ramli, kutaka kuonekana mtabiri, matokeo yake unaandika mambo yasiyoeleweka bila sababu.
 
Inatakiwa iwe 200M kwa watu 19....chama kitapata 3.8billion.... kama hataki wajiuzuru uanachama fasta
Huu ni ujinga, chama kinachojinasibu cha demokrasia na maendeleo hakitakiwi kukimbilia pesa za waliovunja taratibu walizojiwekea ili wawasamehe, hii itaset bad precedence, na Chadema kitadharaulika.
 
Back
Top Bottom