Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 510
- 871
Daaaah hata ww....nadhan lile fungu la Mdee limekufikia...hongera mkuuSiasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya
1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!
2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo
3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama
CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU
Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannicawww.jamiiforums.com
Britanicca
Sent from my TECNO R6 using JamiiForums mobile app