Hakika,wao ndio waueleze umma nani aliratibu kwa vitisho wakatishika,iwe simba wa Yuda au Mbowe.Inaonekana wewe ni miongoni mwao,unaumia ukiwa wapi?Halima na wenzake ni wasaliti na hivyo hawawezi kustahili msamaha bila wao wenyewe kuueleza umma nani aliwapeleka Bungeni,walipewa kitu gani na CCM hadi watende hayo?
SaaaInaonekana wewe ni miongoni mwao,unaumia ukiwa wapi?Halima na wenzake ni wasaliti na hivyo hawawezi kustahili msamaha bila wao wenyewe kuueleza umma nani aliwapeleka Bungeni,walipewa kitu gani na CCM hadi watende hayo?
Amtaje huyo kiongozi mkubwaPascal Mayalla ameshasema kina Mdee hawakujipeleka wenyewe kuapishwa ila kuna kiongozi mkubwa wa Chadema alitoa ruhusa ( green light), sema Cdm hawataki kuwa wakweli.
JokaKuu Nguruvi3 Behaviourist Tindo Yodazitto junior Daudi Mchambuzi THE BIG SHOW
Erythrocyte
NDUNGAI AWATEEEEESiasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya
1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!
2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo
3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama
CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU
Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannicawww.jamiiforums.com
Britanicca
Nimekuelewa katika yote uliyozungumza ila katika Moja ndio sijakuelewa. Hilo la KUYAJUA MENGI ILA HAMYAHAMYASEMISiasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya
1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!
2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo
3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama
CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU
Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannicawww.jamiiforums.com
Britanicca
Sasa mimi sijakuelewa. Kwani Issue ya Akinamdee mahakama imesemaje? Au kesi itolewe mahakamani wamalizane nje ya mahakama?Siasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya
1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!
2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo
3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama
CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU
Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannicawww.jamiiforums.com
Britanicca
Wewe unamuamini huyo Pascal Mayalla? Pole sana.Pascal Mayalla ameshasema kina Mdee hawakujipeleka wenyewe kuapishwa ila kuna kiongozi mkubwa wa Chadema alitoa ruhusa ( green light), sema Cdm hawataki kuwa wakweli.
JokaKuu Nguruvi3 Behaviourist Tindo Yodazitto junior Daudi Mchambuzi THE BIG SHOW
Erythrocyte
KivipInaonekana wewe ni miongoni mwao,unaumia ukiwa wapi?Halima na wenzake ni wasaliti na hivyo hawawezi kustahili msamaha bila wao wenyewe kuueleza umma nani aliwapeleka Bungeni,walipewa kitu gani na CCM hadi watende hayo?
Mkuu Tindo , ningepata kura 2, ningejudai sana!. Niliambulia kura moja ya ngama!, tulikuwa wagombea 176, waliopata kura ni wagombea 50. Wagombea 126, walipata kura 0!.Nimeshangaa Paskali Mayalla Huyo anayeaandika kwa kusoma upepo, ili ikitokea kama alichosema ajifanye alishasema. Kama angekuwa na uwezo wa kujua mambo hayo, alipaswa kujua kuwa angepata kura 2 alipoenda kwenye kura za maoni za ccm.
Bungeni hatuingii kwa hisani tunaingia kwa kura.Siasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya
1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!
2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo
3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama
CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU
Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannicawww.jamiiforums.com
Britanicca
Hata kama kuna kiongozi alitoa hiyo 'green light' je, hiyo peke yake inatosha kuwafanya wawe Wabunge?Pascal Mayalla ameshasema kina Mdee hawakujipeleka wenyewe kuapishwa ila kuna kiongozi mkubwa wa Chadema alitoa ruhusa ( green light), sema Cdm hawataki kuwa wakweli.
JokaKuu Nguruvi3 Behaviourist Tindo Yodazitto junior Daudi Mchambuzi THE BIG SHOW
Erythrocyte
Usanii uliofanywa na Magufuli kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 kuwaita viongozi wa CCM Ikulu nakuwapa maelekezo ya kufanya, pia kuwaonya wakurugenzi kuwa mpinzai akishinda Hana kazi, baadaye Magufuli kajisahau kuwa sheria za Mabunge kwenye mfumo wa vyama vingi wapinzani lazima wawemo, ndipo Sasa alalazimika kuwarubuni Hawa 19 wa Chadema, wengine akiwatoa gerezani usiku na kuapishwa! Yaani haya ni maajabu ya Dunia. CCM ni Chama kisichokuwa na aibu.Amtaje huyo kiongozi mkubwa
Mkuu Nguruvi3 , hili la mhimili wa Mahakama kutokutenda haki ni tatizo kubwa that needs to be addressed properly!. Niliwahi kulizungumza humu Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?Hata kama kuna kiongozi alitoa hiyo 'green light' je, hiyo peke yake inatosha kuwafanya wawe Wabunge?
Kuna taratibu za kuzingatiwa na si takwa la mtu au watu. Walikwendaje Bungeni na Form zikabaki Ufipa?
Hakuna mtu anayeweza kupeleka mtu Bungeni, ingalikuwa rahisi hivyo tusingekuwa na sheria.
Hoja ni je hawa ni Wanachama halali wa chama cha siasa?
Hii ndiyo hoja yao , walifukuzwa bila kuzingatia taratibu.
Hoja yao si kwamba walikwenda vipi Bungeni, ni uhalali wao Bungeni kupitia uanachama.
Kuna mwanasheria mmoja anayejitambulisha kama Baba Mwita, ameandika hoja nzuri sana. Mwita anasema Mahakama iliacha wajibu wake wa kutazama katiba ikaingia katika kutafuta mapungufu ya Katiba.
Mahakama ilitakiwa kuhakikisha je Katiba ya Chadema imefuatwa? Kumbuka katiba imeridhiwa na Msajili
Hoja za akina Halima Mdee ni kutosikilizwa na Baraza kuu, hawakupewa muda wa kufika na upuuzi wa namna hiyo.
Jaji anaposema wajumbe wa CC hawakupaswa kuingia Baraza kuu ni kituko, akina Halima hawakuomba tafsiri ya suala hilo. Mahakama yetu inatia shaka sana na sijui hawa Majaji hupatikana kwa utaratibu gani.
Prof angepisha wengine , amefeli
JokaKuu Pascal Mayalla
Sasa yanatimia hayaSiasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt haya
1. Kutangazia Umma kwamba alikosea na sasa wanaomba msamaha wala si kushindana na CHADEMA Kwenda kwenye mahakama Au kutunishiana msuli na Chama kilichowalea!
2. Watoe michango Kwa Utaratibu wa CHADEMA , wabunge wanachangia kila mwezi hivo watozwe faini ama ya 150M kila mmoja Ambayo ilipwe Kwa awamu Au Kwa mkupuo
3. Hatma yao ya kugombea mwaka 2025 iwe Siri ya Kamati kuu ya Chama
CHADEMA HII NDO TURUFU YA KUONESHA UKOMAVU
Then sina uhakika Kama Mdee wana Courage Hiyo ya kufoji Kwenda Bungeni, tunajua mengi na hatuyasemi
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannicawww.jamiiforums.com
Britanicca
Nilitoa ushauri tuHuu ushauri kwa wale vilaza lazima wakutukane wao hata ushauri ni matusi tu
USSR