Aliyeelewa tafadhari anieleweshe wakuu...Wakuu,
Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.
Kama wao kwa wao wanafanyiana haya kuna mwanga wa kuwa na upinzani wa kweli unaokicheki kweli chama tawala?
Hamna chama cha upinzan hapa! Hili ni genge la wasaka tonge🚮🚮Wakuu,
Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.
Kama wao kwa wao wanafanyiana haya kuna mwanga wa kuwa na upinzani wa kweli unaokicheki kweli chama tawala?
CHADEMA lazima kilindwe kwa hali yoyote ile hatuwezi kuachia wahuni waingie na kuharibu CHAMA kilichojengwa kwa jasho la damu.Wakuu,
Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.
Kama wao kwa wao wanafanyiana haya kuna mwanga wa kuwa na upinzani wa kweli unaokicheki kweli chama tawala?
Ni majina ya watia nia kugombea ujumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Inasemekana watia nia walioonyesha kuwa upande wa Lissu wote wamefyekelewa mbali isipokuwa mmoja tu (Pambalu). Kwa hivyo Kamati Kuu itajaa watu wa Mbowe peke yake. Ndiyo maana kelele zinapigwa kila upande kwamba hata huo uchaguzi hapo kesho si ajabu ukagubikwa na mauzauza ya wazi kama yaliyotokea kwenye uteuzi wa wagombea wa Kamati Kuu.Aliyeelewa tafadhari anieleweshe wakuu...
Labda wamepewa maagizo 😄 toka juuMnyika naye anafanya mambo kama ya TAMISEMI kuengua wagombea.
Hapo CHADEMA in the future haiwezi kuwa na moral authority ya kulalamikia uenguaji pindi serikali ya CCM itakapokuwa inawaengua kwenye kugombea serikali za mitaa n.k
Ngoja tuone nini kitaendeleaNyingine hii hapa:-
Tetesi: - Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu
Wasalaam Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu. Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha...www.jamiiforums.com
Mbali na siasa Mnyika ana shughuli gani?Nimeshangaa sana Mbowe kawaje, sasa unamuacha Rose Mayemba alafu unweka random women tu ambao hata kwenye struggle za chama hatujawahi kuwaona.
Mfano unamkata Twaha Mwaipaya alafu unamuweka Assenga? Hivi Mbowe nani atakayempigia kampeni za urais 2025 kama ndio watu anaojaza ni liabilities.
Bora angekua anaweka watu wenye uwezo zaidi kuliko kujaza liabilities ili tu kukomoa upande wa Lissu.
Yaleyale ya kumteua Mashinji ili kumkomoa Mnyika kisa alimpinga Lowassa!!
Chama Cha ovyo, naona mzee wa Machame kikimfia rasmi .Wakuu,
Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.
Kama wao kwa wao wanafanyiana haya kuna mwanga wa kuwa na upinzani wa kweli unaokicheki kweli chama tawala?