Pre GE2025 CHADEMA walia na rafu kuelekea Uchaguzi wa Mwenyekiti. Team Lissu waliwa vichwa ili kumpa ushindi Mbowe

Pre GE2025 CHADEMA walia na rafu kuelekea Uchaguzi wa Mwenyekiti. Team Lissu waliwa vichwa ili kumpa ushindi Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani lini nyie wakunja ngumi mmewahi kuipigia kura chadema yenu? Miaka yote chadema inapigiwa kura na ccm ambao waneichoka ccm yao... Nyie mnaojiita wanachama makamanda wa CDM miaka yote mna saliti harakat za mbowe, sikuzote mnajificha ktk harakat za kudai mageuzi... Wakati wa mzee jiwe mlimuachia chama mbowe akahangaika nacho ktk hatari zote... 🤣💩🤣💩 leo mmeona Mama Samia ameruhusu nchi iwe na uhuru wa kisiasa na uhuru wa kuongea mnataka nafasi kubwa ndani ya chadema kirahisi tu...
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, ni ×100 mbowe afie uzeeni ktk hiko cheo kuliko kumuachia Lisu na waganga njaa wenzake... Ni mara mia mbowe chama kimfie mikononi mwake ila sio kumuachia lisu mropokaji asiyejitambua na asiye na msimamo wala hekima...
Kama mnataka cheo na kumilik chama tokeni chadema nenden kaanzisheni chama chenu, mbona zitto alitoka akaenda kuanzisha chake... You guys jasho na harakat za mtu haliendi bure na halipokonywi kirahisi hivyo... 🤣😅 kama ambavyo ccm tulitaka jiwe awe rais wa kudumu basi ndivyo mbowe atakuwa m'kiti wa kudumu, mtatoka nyie mbowe atabaki... Msidhani kila wakat kuropoka kutukana na kujiita kamanda ndio kutakufanya uonekane mjanja...
PALE CHADEMA MBOWE PEKEYAKE NDIYE MWENYE AKILI wengine ni nyumbu tu kama nyumbu wengine 🤣😅
Wakati wa JPM chadema ilikuwa inakula ruzuku ndefu sana
 
Wakuu,

Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.

Kama wao kwa wao wanafanyiana haya kuna mwanga wa kuwa na upinzani wa kweli unaokicheki kweli chama tawala?

Uchaguzi ni vita vya maslahi baina ya makundi ,mwenye Nguvu ndio atashinda Sasa unamlalamikia nani? Kakate rufaa huko
 
Mwanzoni nilimlauku Lissu lakini sasa hivi namshukuru sana. Yaani tumekuwa tunauziwa mbuzi kwenye gunia miaka yote hii....watanzania ni walewale, ccm kama chadema na chadema kama ccm. Labda kizazi hiki kifutike. Tusake tonge bandugu
Wewe miaka Yako yote ulikuwa unasaka nini?
 
Back
Top Bottom