Sina Million 30
JF-Expert Member
- Jan 17, 2025
- 243
- 156
Pole Hilda ulikuwa hujui kuwa Siasa Ya Tanzania ni Mchaga Original hata vipi kujinusuaWakuu,
Mambo yanakuwa matamu huko, Hilda ameweka bandiko kupitia account ya X kuwa mpaka CHADEMA yanatokea mambo ya hovyo ambayo kila wakati wanayapinga wakifanya CCM. Katika orodha hii inasemekana team Lissu kabakishwa mmoja tu, je tutegemee matokeo tofauti hapo kesho.
Kama wao kwa wao wanafanyiana haya kuna mwanga wa kuwa na upinzani wa kweli unaokicheki kweli chama tawala?
Tafuta
Wachagga
kabila la Kenya na TanzaniaWachagga[1] ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu (lakini pia mchanganyiko wa damu, hasa ya Kikushi) wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro.
Wachagga ni kabila la tatu kwa ukubwa nchini Tanzania.[2] Takwimu za mwaka 2003 zinaonyesha kuwa idadi yao ni watu 2,000,000. Hata hivyo kabila hilo ni kama mchanganyiko wa makabila madogomadogo yenye lugha tofauti, jambo la pekee nchini Tanzania.
Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara, kilimo na kazi za ofisini.
Vikundi vya Wachagga
Lugha ya Kichagga
Koo za Kichagga
Utawala wa jadi wa Wachagga
Elimu kati ya Wachagga
Ardhi
Kilimo na chakula
Maoni juu ya Wachagga
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
mwisho imehaririwa miezi 5 iliyopita na Riccardo Riccioni
- Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo.
- Sera ya faragha
- Masharti ya matumizi
- Dawati