Chadema walimpenda sana Job Ndugai na alipoenda India walimlilia, kwa sasa Chadema wanampenda Rais Samia!

Chadema walimpenda sana Job Ndugai na alipoenda India walimlilia, kwa sasa Chadema wanampenda Rais Samia!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Upendo ni jambo muhimu na la baraka mbele zake Mungu.

Chadema walimpenda sana Spika Ndugai na hasa pale walipobaki na Dr Tulia wakati Job akiwa India kwa matibabu walimlilia na kumuombea uponyaji wa haraka.

Aliporejea Freeman alienda air port kumpokea na kumsindikiza hadi nyumbani kwake Salasala.

Huu ni upendo mkuu ambao hata sasa Chadema wanauonyesha kwa Rais wetu kipenzi mama Samia.

Nawatakia Pentecoste yenye baraka!

Ukaja Upepo kutoka mbinguni juu na Wote wakajazwa Roho Mtakatifu.
 
Kama mnakumbuka ndugai alikuwa mstaarabu lakini tulia ndiyo alikuwa hajatulia
alipewa onyo la kuondolewa na boss wake Kama hatojirekebisha na alivyorudi ndiyo akawa kama alivyo leo
 
Wakiamini Tulia ni mbaya wao kwani hoja zake ziliwabwaga kwenye kesi ya kusubiri matokeo ya uchaguzi ndani ya mita 200
 
Upendo ni jambo muhimu na la baraka mbele zake Mungu.

Chadema walimpenda sana Spika Ndugai na hasa pale walipobaki na Dr Tulia wakati Job akiwa India kwa matibabu walimlilia na kumuombea uponyaji wa haraka...
Mkuu bado hujaoshwa dhambi ya uMATAGA?
 
Mimi navyojua chadema imekufa kwa mujibu wa Mataga, swali, kwanin kila leo Mataga bado wanajadili kuhusu Chadema? Au hawana chama mbadala cha kuongelea?
Ngoja Mataga wake watakujibu.
 
Back
Top Bottom