Chadema walimpenda sana Job Ndugai na alipoenda India walimlilia, kwa sasa Chadema wanampenda Rais Samia!

Chadema walimpenda sana Job Ndugai na alipoenda India walimlilia, kwa sasa Chadema wanampenda Rais Samia!

Kama mnakumbuka ndugai alikuwa mstaarabu lakini tulia ndiyo alikuwa hajatulia
alipewa onyo la kuondolewa na boss wake Kama hatojirekebisha na alivyorudi ndiyo akawa kama alivyo leo
Haieleweki kosa ni kupenda ama unajenga hoja kwamba mtu wa CCM akipendwa na CHADEMA anaharibikiwa kama Ndagay?Nahisi ****** anasumbuliwa na madhara ya ugonjwa/side effects za dawa za India.
Hata hivyo Rais SSH anawatesa CCM kwa kuwa anatenda kwa Haki na CCM wana mzio wa Haki za Watanzania.Tunamwombea Madame President ajiepushe na hila za CCM Mpya maana wanastress ya kuondokewa na kigagula wao.
 
Mimi navyojua chadema imekufa kwa mujibu wa Mataga, swali, kwanin kila leo Mataga bado wanajadili kuhusu Chadema? Au hawana chama mbadala cha kuongelea?
Kama **** mwanamke malaya mtaani kila akipita mnamzungumzia
Ikitokea haonekani lazima mtajiuliza nini kimemsibu maana mnakosa mbwembwe zake kika apitapo.

Kwa hiyo chadema pamoja na kujifia bado kumbukumbu zao zipo kulingana na matukio yao.

Kwa hoyo itajadiliwa tu mpka pale atakapo jitokeza malaya mwingine wa kumzidi wa kwanza.
 
Upendo ni jambo muhimu na la baraka mbele zake Mungu.

Chadema walimpenda sana Spika Ndugai na hasa pale walipobaki na Dr Tulia wakati Job akiwa India kwa matibabu walimlilia na kumuombea uponyaji wa haraka.

Aliporejea Freeman alienda air port kumpokea na kumsindikiza hadi nyumbani kwake Salasala.

Huu ni upendo mkuu ambao hata sasa Chadema wanauonyesha kwa Rais wetu kipenzi mama Samia.

Nawatakia Pentecoste yenye baraka!

Ukaja Upepo kutoka mbinguni juu na Wote wakajazwa Roho Mtakatifu.
Watu wenye upeo mdogo kila siku hufikiria magomvi,hivi kwenda kumpokea Mtanzania mwenzio airport ni kosa??? Mlilishwa nini na Magufuri kiasi kwamba mkaona kuwa mtu yeyote asiye mwanaccm ni adui wa nchi??
 
Watu wenye upeo mdogo kila siku hufikiria magomvi,hivi kwenda kumpokea Mtanzania mwenzio airport ni kosa??? Mlilishwa nini na Magufuri kiasi kwamba mkaona kuwa mtu yeyote asiye mwanaccm ni adui wa nchi??
Mbona umefura?

Tunakumbushana Upendo wa kwanza.
 
Upendo ni jambo muhimu na la baraka mbele zake Mungu.

Chadema walimpenda sana Spika Ndugai na hasa pale walipobaki na Dr Tulia wakati Job akiwa India kwa matibabu walimlilia na kumuombea uponyaji wa haraka.

Aliporejea Freeman alienda air port kumpokea na kumsindikiza hadi nyumbani kwake Salasala.

Huu ni upendo mkuu ambao hata sasa Chadema wanauonyesha kwa Rais wetu kipenzi mama Samia.

Nawatakia Pentecoste yenye baraka!

Ukaja Upepo kutoka mbinguni juu na Wote wakajazwa Roho Mtakatifu.
Amina
 
Back
Top Bottom