Pre GE2025 CHADEMA walitumia saa 6 toka Kigoma hadi Kakonko. Kazi ya CCM katika ujenzi wa barabara sasa CHADEMA hutumia masaa 2 tu

Pre GE2025 CHADEMA walitumia saa 6 toka Kigoma hadi Kakonko. Kazi ya CCM katika ujenzi wa barabara sasa CHADEMA hutumia masaa 2 tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Ni kazi kuamini:-
* Kelele za CHADEMA kuhusu barabara ya Nyakanazi - Kigoma CCM imezimaliza. Sasa hii si hoja tena kwao;

* Umeme si hoja tena. REA imefanya kazi kubwa kuleta maendeleo ya nishati mkoani Kigoma.

* Mawasiliano ya simu ktk rural areas siyo hoja tena. Ni CCM chini ya Rais Samia imetenda. CHADEMA wamebaki kuwa wanufaika wakuu wa miradi inayotengenezwa na CCM hapa nchini;

* Hali ya ulinzi na usalama nao umeimalika sana. Hivi sasa CHADEMA huanza safari ya Kigoma - Dodoma au Dar hata usiku wa manane. CCM imejibu hoja zote. Nadhani ktk uchaguzi wa 2025 Mama hatakuwa na mpinzani.

Maendeleo ni CCM!
Ngaika Ndenda
 
Ni kazi kuamini:-
* Kelele za CDM kuhusu barabara ya Nyakanazi - Kigoma CCM imezimaliza. Sasa hii si hoja tena kwao;

* Umeme si hoja tena. REA imefanya kazi kubwa kuleta maendeleo ya nishati mkoani Kigoma.

* Mawasiliano ya simu ktk rural areas siyo hoja tena. Ni CCM chini ya Rais Samia imetenda. CDM wamebaki kuwa wanufaika wakuu wa miradi inayotengenezwa na CCM hapa nchini;

* Hali ya ulinzi na usalama nao umeimalika sana. Hivi sasa CDM huanza safari ya Kigoma - Dom au Dar hata usiku wa manane. CCM imejibu hoja zote. Nadhani ktk uchaguzi wa 2025 Mama hatakuwa na mpinzani.

Maendeleo ni CCM!
Ngaika Ndenda



Yaani Lissu ndiyo mnufaika mkuu wa barabara ya KIGOMA! Ujinga haununuliwi
 
Kuna kile kipindi Chadema wanapinga ununuzi wa ndege, sasa kuna picha viongozi wa Chadema wapo kwenye ndege lakini caption inasema viongozi wa Chadema wapo kwenye mtumbwi kuelekea Zanzibar 😂
 
Hapo Kuna Kodi za mamilioni ya wanachadema, cut, act, nra, ccm wenyewe zimetumika kwahiyo ikitokea CCM hela za Kodi mmepekeka kwenye maendeleo badala ya kuzitafuna msidhani kuwa mmefanya hisani kwa watanzania ila mmetekeleza majukumu mliyoomba wenyewe ya kuwatumikia watanzania

Acheni kuhifadhi makamasi na vinyesi vichwani mwenu
 
Back
Top Bottom