Pre GE2025 Chadema wameamua kujifunga goli wao wenyewe

Pre GE2025 Chadema wameamua kujifunga goli wao wenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar

Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.

Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.


Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
Suala Muungano kuvunjika Wazanzibar wako tayari tangia 1973 sema tu Watanganyika ndio mbumbu hivyo Wazanzibar wanauhitaji sana Uzanzibar wao hata sasa.
 
Zanzibar kuna kura ngapi?

Lowassa alipata kura nyingi kuliko Shujaa Magufuli Zanzibar ile 2015 hazikumsaidia chochote 😄😄
Bwashe bana, sometime dishi inakuwaga sawa😂😂😂😂😂. Imagine mtu anasema udini kiasi cha kusahau Zanzibar ambapo mtu haruhusiwi kula chakula cha mchana wakati wa mfungo mtukufu? Ukiwauliza wanakuambia 'utamaduni'wao, hawasemi udini😡😡😡😡. Sisi tunakula ni udini
 
Ikitikea samia akakataza mikutano yote kama ilivyokuwa kw jpm mtafanyaje sasa. Acheni kumchokoza mama wa watu. Lisu yeye anapo pa kukimbilia, wewe je
Ataachwa kama alivyoachwa Jpm.Unatakiwa ujue kua ngoma ikivuma sana huwa inakaribia kupasuka.
 
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar

Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.

Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.


Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
Kura za huruma!!!? Mnamdharau sana mama
 
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar

Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.

Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.


Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
CHADEMA hawajawahi kutegemea kura zenji, hata 2020 hawakupata kura wala mbunge, wanajua zenji wanamtaka zito ambaye ni muislam mwenzao, wote baada ya kutoka cuf wakaenda ACT wazalendo na ndio maana zitto anapambana hata issue ya muungano anatetea zanzibar kwasababu kule ana wapigakura na wabunge wanaompa ruzuku kubwa. zenji ina wapigakura sidhani kama hata laki tano wanazidi, na hawaipigiagi chadema. nashauri chadema wafute kabisa kutafuta kura zenji, kwasababu watapoteza pesa zao za kampeni bure, na tafuteni issue inayogusa mioyo ya watanzania ili kumwondoa kizmkazi kwa sanduku la kura 2025.
 
Haya kwanza eleza maana ya ''gori'', ''theruthi'' na ''mana''. Halafu kingine ni kuwa Zanziba ina wapiga kura wacahache sana na miaka yote kura zao zinakwenda CUF/ACT na CCM.
Umeuliza kama Mzee kifimbo cheza wa gazeti la sani😄😄
 
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar

Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.

Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.


Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
Hizo kura zenu 950 kaeni nazo wemyewe aj wapeni ACT na CCM wagawane
 
Zanzibar ndio wanataka zaidi muungano wa serikali tatu zilizo kamili
 
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar

Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.

Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.


Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
Mimi ni mzanzibar, 99% ya wazanzibari tunamuunga Lissu mkono nina uhakika hata Sa100 mwenyewe anamuunga mkono. Huu muungano hata sisi wazanzibar hatuutaki
 
Tatizo lako unadhani Watanzania Visiwani hawaitaki Serikali ya Tanganyika

Utashangazwa sana 🐼

Usiishi kwa kukariri

Zanzibar ni nchi yenye Ardhi, mipaka na kila kitu na wanajipigia kura wenyewe kwa wenyewe tangu 1995
Mungu akubariki Bwashe. Nilisikiliza ile clip ya majuzi ya Makamu wa Rais Zanzibar. Moyo uliniuma mno. Alikuwa very clear kwamba wazanzibari wote ni watanzania lakini si watanzania wote ni wazanzibari. Kwamba wazanzibari wote wana full rights ndani ya Muungano lakini Watanganyika not. Thats why Watanganyika hawawezi kumiliki hata hatua moja ya ardhi Zanzibar lkn wao wanaweza Tanganyika.
Halafu anatokea mpumbavu moja eti unahitaji theluthi moja ya kura ya wazanzibari! Ya kazi gani?!
 
Mbona kwa jpm hamkufurukuta alizima mikutano yote mkaufyata leo manajifanya mnajua kuongea kisa mama mpole, mnyenyekevu, mwelevu na siyo lile jamaa

..Jpm alikuwa na majeshi nyuma yake ndio maana Cdm na wengine waliufyata.

..Siasa ni kupambana kwa HOJA sio kujitokeza na silaha kama wanavyofanya Ccm.

..Na sasa hivi Ccm haiwezi kujibu hoja ndio maana mnakereka , na kuchanganyikiwa, mnapokabiliana na wanasiasa kama Lissu.

..Kwa hali inavyoendelea sitashangaa mkirudi kutumia silaha na majeshi.
 
Mimi ni mzanzibar, 99% ya wazanzibari tunamuunga Lissu mkono nina uhakika hata Sa100 mwenyewe anamuunga mkono. Huu muungano hata sisi wazanzibar hatuutaki
Hiki kiswahili chako kinaonesha we ni muha wa kigoma
 
Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar

Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.

Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.


Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani

..Waznz wanampenda Lissu.

..Wanamtambua kuwa miongoni mwa Watanganyika wanaosema ukweli kuhusu muungano.

..Wazanzibari hupenda kumuita Lissu " Ronaldo. "
 
Watanganyika siyo wajinga mkuu. Ujue Lissu anatufumbua macho. Mfano ni suala la bandari za Tanganyika kupewa DPW.
 
Back
Top Bottom