stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Ila ukimsikiliza Lissu (kama unamiliki akili timamu) unajua kuwa kile anachokisema ni kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu anaicheza ngoma wanayoipenda Wazanzibari kuisikia !!Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar
Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.
Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.
Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
Huyo maalim seif licha ya kuwa anapata 3/4 ya kura zote za Zanzibar ni lini alitangazwa kuwa rais wa zanzibar?!! Jibuni hoja kwani Samia sio mzanzibar?Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar
Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.
Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.
Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani