CHADEMA wamehalalisha haramu 'Covid-19' na Ruzuku

CHADEMA wamehalalisha haramu 'Covid-19' na Ruzuku

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaJf, salaam tena!

Nimekuja kuuliza tena baada ya shangao kubwa linalotokana na ndimu mbili za chama kikongwe cha upinzani - CDM. Kimsingi sitegemei kuona CDM kikitoa misimamo inayoyumba na kuyumbisha taifa letu. REJEA

(a) Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 CHADEMA ilituma kwa Spika majina ya Wabunge leo wanaoitwa Covid 19. Mitifuano yake mpaka leo imeacha nyufa ndani ya CDM. Lakini leo Covid-19 wameitisha kikao chao na kumwalika Rais wa JMT punde uongozi wa CDM nao uko tayari kukaa nao "La hasha". Viapo vya vyama hivyo viko wapi?

(b) Kutokana na kile kilichotokea uchaguzini CDM ikakataa kuitambua uTme, ikakataa kutambua matokeo na baadae ikakataa kupokea Ruzuku za kila mwezi, robo na nusu mwaka. Sasa juzi juzi mara wamepokea 800+M.

Sasa hivi kachama kanashindwa kusimamia kiapo kidogo hivyo na misimamo ya vikao leo kanaweza kutuaminisha kuwa kanapigania maslahi ya wanyonge?

Wananchi tubaki CCM, chama kinachowapenda na kuwathamini.

Msakila Kabende,
Kakonko.
 
WanaJf, salaam tena!

Nimekuja kuuliza tena baada ya shangao kubwa linalotokana na ndimu mbili za chama kikongwe cha upinzani - CDM. Kimsingi sitegemei kuona CDM kikitoa misimamo inayoyumba na kuyumbisha taifa letu. REJEA

(a) Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 CHADEMA ilituma kwa Spika majina ya Wabunge leo wanaoitwa Covid 19. Mitifuano yake mpaka leo imeacha nyufa ndani ya CDM. Lakini leo Covid-19 wameitisha kikao chao na kumwalika Rais wa JMT punde uongozi wa CDM nao uko tayari kukaa nao "La hasha". Viapo vya vyama hivyo viko wapi?

(b) Kutokana na kile kilichotokea uchaguzini CDM ikakataa kuitambua uTme, ikakataa kutambua matokeo na baadae ikakataa kupokea Ruzuku za kila mwezi, robo na nusu mwaka. Sasa juzi juzi mara wamepokea 800+M.

Sasa hivi kachama kanashindwa kusimamia kiapo kidogo hivyo na misimamo ya vikao leo kanaweza kutuaminisha kuwa kanapigania maslahi ya wanyonge?

Wananchi tubaki CCM, chama kinachowapenda na kuwathamini.

Msakila Kabende,
Kakonko.
1 - wewe ni ccm lakini masuala ya chadema yanakuwasha.

2 - pesa ya ruzuku ipo kikatiba siyo pesa ya baba yako au fadhila. Tumia elimu yako vizuri. Hukwenda shule ili uwe mjinga kwa kiwango hiki cha kutojua masuala yaliyo wazi kikatiba amabyo hata mtoto wa chekechea anajua.
 
WanaJf, salaam tena!

Nimekuja kuuliza tena baada ya shangao kubwa linalotokana na ndimu mbili za chama kikongwe cha upinzani - CDM. Kimsingi sitegemei kuona CDM kikitoa misimamo inayoyumba na kuyumbisha taifa letu. REJEA

(a) Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 CHADEMA ilituma kwa Spika majina ya Wabunge leo wanaoitwa Covid 19. Mitifuano yake mpaka leo imeacha nyufa ndani ya CDM. Lakini leo Covid-19 wameitisha kikao chao na kumwalika Rais wa JMT punde uongozi wa CDM nao uko tayari kukaa nao "La hasha". Viapo vya vyama hivyo viko wapi?

(b) Kutokana na kile kilichotokea uchaguzini CDM ikakataa kuitambua uTme, ikakataa kutambua matokeo na baadae ikakataa kupokea Ruzuku za kila mwezi, robo na nusu mwaka. Sasa juzi juzi mara wamepokea 800+M.

Sasa hivi kachama kanashindwa kusimamia kiapo kidogo hivyo na misimamo ya vikao leo kanaweza kutuaminisha kuwa kanapigania maslahi ya wanyonge?

Wananchi tubaki CCM, chama kinachowapenda na kuwathamini.

Msakila Kabende,
Kakonko.

Mmeingia kwenye mtego wa CHADEMA bila kujua.
 
1 - wewe ni ccm lakini masuala ya chadema yanakuwasha.

2 - pesa ya ruzuku ipo kikatiba siyo pesa ya baba yako au fadhila. Tumia elimu yako vizuri. Hukwenda shule ili uwe mjinga kwa kiwango hiki cha kutojua masuala yaliyo wazi kikatiba amabyo hata mtoto wa chekechea anajua.
HAPO ndiyo ujue ujinga wa chadema ulipo kama ruzuku ipo kisheria kuikataa ni kuvunja sheria hivyo chadema walikuwa wanavunja katiba yanchi wahuni hao
 
HAPO ndiyo ujue ujinga wa chadema ulipo kama ruzuku ipo kisheria kuikataa ni kuvunja sheria hivyo chadema walikuwa wanavunja katiba yanchi wahuni hao
Hivi kwa akili yako unaamini walikataa kupokea? Wewe ndiye receiving officer, una ushahidi walikataa hawakupokea? Kwa umri ulionao, bado unaamini maneno yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa majukwaani kuhusu pesa? ... Nakupa pole.

Labda nikusaidie... Politics is perception. Unawaambia watu kulingana na wakati kile wanacho perceive. Ndiyo sababu walikuwa wanasema Lowasa ni fisadi papa. Alipokwenda Chadema, wakasema siasa haina adui wa kudumu. Hata CCM, akina Silinde na wenzake, walipoasi Chadema, wakarudi CCM. Akina Polepole walisema wamerudi nyumbani.

Na jana Mbowe alijibu nini alipoulizwa kuhusu Dr. Slaa kupanda jukwaa la Chadema huko Karatu?

Enzi za JPM, Samia aliwaponda sana wapinzani kama maadui. Jana akiwa Usa River, amesema nini?

That is politics, lakini ninyi wapu.mbavu mlio nje ya siasa mnaishi kwa vinyongo tu kwa ujinga wenu.
 
Hivi kwa akili yako unaamini walikataa kupokea? Wewe ndiye receiving officer, una ushahidi walikataa hawakupokea? Kwa umri ulionao, bado unaamini maneno yanayotoka kwenye vinywa vya wanasiasa majukwaani kuhusu pesa? ... Nakupa pole.

Labda nikusaidie... Politics is perception. Unawaambia watu kulingana na wakati kile wanacho perceive. Ndiyo sababu walikuwa wanasema Lowasa ni fisadi papa. Alipokwenda Chadema, wakasema siasa haina adui wa kudumu. Hata CCM, akina Silinde na wenzake, walipoasi Chadema, wakarudi CCM. Akina Polepole walisema wamerudi nyumbani.

Na jana Mbowe alijibu nini alipoulizwa kuhusu Dr. Slaa kupanda jukwaa la Chadema huko Karatu?

Enzi za JPM, Samia aliwaponda sana wapinzani kama maadui. Jana akiwa Usa River, amesema nini?

That is politics, lakini ninyi wapu.mbavu mlio nje ya siasa mnaishi kwa vinyongo tu kwa ujinga wenu.
hivi jana umesema sichukui ruzuku haramu kabisa leo unasema tumeanza kuchukua ruzuku inmaana uchaguzi uikuwa sawa hauna dosari
 
hivi jana umesema sichukui ruzuku haramu kabisa leo unasema tumeanza kuchukua ruzuku inmaana uchaguzi uikuwa sawa hauna dosari
Nani alikwambia siasa ni perfection? Unapata pressure bure. Kelele zako hazitawazuia kula.
 
WanaJf, salaam tena!

Nimekuja kuuliza tena baada ya shangao kubwa linalotokana na ndimu mbili za chama kikongwe cha upinzani - CDM. Kimsingi sitegemei kuona CDM kikitoa misimamo inayoyumba na kuyumbisha taifa letu. REJEA

(a) Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 CHADEMA ilituma kwa Spika majina ya Wabunge leo wanaoitwa Covid 19. Mitifuano yake mpaka leo imeacha nyufa ndani ya CDM. Lakini leo Covid-19 wameitisha kikao chao na kumwalika Rais wa JMT punde uongozi wa CDM nao uko tayari kukaa nao "La hasha". Viapo vya vyama hivyo viko wapi?

(b) Kutokana na kile kilichotokea uchaguzini CDM ikakataa kuitambua uTme, ikakataa kutambua matokeo na baadae ikakataa kupokea Ruzuku za kila mwezi, robo na nusu mwaka. Sasa juzi juzi mara wamepokea 800+M.

Sasa hivi kachama kanashindwa kusimamia kiapo kidogo hivyo na misimamo ya vikao leo kanaweza kutuaminisha kuwa kanapigania maslahi ya wanyonge?

Wananchi tubaki CCM, chama kinachowapenda na kuwathamini.

Msakila Kabende,
Kakonko.
sukuma gang tumewakomesha kwa tabia zenu za kuuwa watu na 2025 tunawakomesha tena kesho kutwa mamayenu tunamkabidhi kadi kule moshi.
 
1 - wewe ni ccm lakini masuala ya chadema yanakuwasha.

2 - pesa ya ruzuku ipo kikatiba siyo pesa ya baba yako au fadhila. Tumia elimu yako vizuri. Hukwenda shule ili uwe mjinga kwa kiwango hiki cha kutojua masuala yaliyo wazi kikatiba amabyo hata mtoto wa chekechea anajua.
Kumbe mlipotoa mitamko hamkujua kuwa ruzuku ipo kisheria - CCM ni wataalam (tumeongeza chawa wa mama toka CDM, ACT na TLP)
 
Kumbe mlipotoa mitamko hamkujua kuwa ruzuku ipo kisheria - CCM ni wataalam (tumeongeza chawa wa mama toka CDM, ACT na TLP)
Walitamka hivyo kuipa pressure CCM. Hiyo pesa CCM wangeipeleka wapi? Kutowapa ni kuvunja katiba na sheria, hivi kwa nini issue ndogo namna hii huielewi?
 
Lile ni genge la wahuni
Mataga tumeyapiga za uso na bado tunawasubiri 2025 ndo mtajua vizuri buku saba zinaelekea mwisho tutawakomesha kama tulivyowakomesha. By the way, mamayenu tunamkabidhi kadi Moshi.
 
WanaJf, salaam tena!

Nimekuja kuuliza tena baada ya shangao kubwa linalotokana na ndimu mbili za chama kikongwe cha upinzani - CDM. Kimsingi sitegemei kuona CDM kikitoa misimamo inayoyumba na kuyumbisha taifa letu. REJEA

(a) Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 CHADEMA ilituma kwa Spika majina ya Wabunge leo wanaoitwa Covid 19. Mitifuano yake mpaka leo imeacha nyufa ndani ya CDM. Lakini leo Covid-19 wameitisha kikao chao na kumwalika Rais wa JMT punde uongozi wa CDM nao uko tayari kukaa nao "La hasha". Viapo vya vyama hivyo viko wapi?

(b) Kutokana na kile kilichotokea uchaguzini CDM ikakataa kuitambua uTme, ikakataa kutambua matokeo na baadae ikakataa kupokea Ruzuku za kila mwezi, robo na nusu mwaka. Sasa juzi juzi mara wamepokea 800+M.

Sasa hivi kachama kanashindwa kusimamia kiapo kidogo hivyo na misimamo ya vikao leo kanaweza kutuaminisha kuwa kanapigania maslahi ya wanyonge?

Wananchi tubaki CCM, chama kinachowapenda na kuwathamini.

Msakila Kabende,
Kakonko.
Kinachokutesa wewe ni nini? Unateseka ukiwa wapi? Kufika 2025 mtakuwa hamjui mshike lipi na muache lipi
 
Mkitekenywa mnatekenyeka - futeni kauli zenu kuhusu kususia ruzuku, Kauli za kutotambua covid 19 vinginevyo mnacheza patupu
 
Back
Top Bottom