CHADEMA wamehalalisha haramu 'Covid-19' na Ruzuku

Nadhan nyote hamjanipa jibu sahihi, mimi nataka nijue sheria ya ruzuku kwa vyama vya siasa inasemaje? Hiyo siasa ya CDM na COVID wao watajuana huko!!
 
niliwatahadharisha tangu awali kuweni makini na wanasiasa wa nchi hawaaminiki na vigeugeu.wanapenda kuwatumia wananchi kama daraja la wao kupita.nadhani wengi sasa mnayaona kupitia kwa wanasiasa ambao mlijenga trust kubwa kwao.kwa hali hiyo bado mnaamini tz kuna upinzani?tujifunze kwa wenzetu kenya na nchi nyingine jirani.
 
Nadhan nyote hamjanipa jibu sahihi, mimi nataka nijue sheria ya ruzuku kwa vyama vya siasa inasemaje? Hiyo siasa ya CDM na COVID wao watajuana huko!!
Mkuu hawezi kujibu kwa vile hata alicholeta hapa kaandikiwa wao ni kuingia mtandaoni tu na ku paste, ukiwauliza maswali ndo matusi kama haya unayoona
 
Sukuma Gang kama vipi mfuate dhalim huko jehanam au rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana wapuuzi wakubwa nyie

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…