CHADEMA wamezoea harakati zisizo na mashiko ndio aina ya siasa walizozoea

CHADEMA wamezoea harakati zisizo na mashiko ndio aina ya siasa walizozoea

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Daah utakuta wewe ni baba wa familia kabisa na kichwani hamna kitu namna hii
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Kudai katiba imekuwa ni crime nchi hii?
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Chama chakavu mnawivu wa kike,mmetumia tiss,police,nec,msajili wa vyama kupambana na cdm mmeshindwa...hicho chama sio act au cuf hamkiwezi muulize yule marehemu wenu alisimamisha kampeni zake na kujitangaza kashinda,cdm ni kubwa kuliko ccm na wanachama wake sio vilaza kma prof kabudi,prof kitila,prof ndalichako...
IMG_20211120_111728.jpeg
 
Chama chakavu mnawivu wa kike,mmetumia tiss,police,nec,msajili wa vyama kupambana na cdm mmeshindwa...hicho chama sio act au cuf hamkiwezi muulize yule marehemu wenu alisimamisha kampeni zake na kujitangaza kashinda,cdm ni kubwa kuliko ccm na wanachama wake sio vilaza kma prof kabudi,prof kitila,prof ndalichako...
View attachment 2155826
Una maana gani?
 
Ipo siku nasema ipo siku [emoji41] vijana wa hovyo sisi hao kutoka shule za kata tutaingia barabarani na kuchukua nchi kwa nguvu.


Ova
 
Chadema ni office ya Mbowe, jamaa yupo kazini wenzangu na mimi tunataka kutoana macho.
 
Nadhan wote tukiwa na mawazo Kama yako bas itatuchukua milenia lak Saba kupata ukombozi Tanzania

Fuatilia mataifa yote dunian katiba haikudaiwa kwa ulimi Bali kwa upanga wa Moto

Kumbuka katiba imara ndiyo huleta uchumi imara

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako, Hakuna lisilowezekana!
Kama hutaki Katiba Mpya tulia
Mbunge mnae Aida Kenan pekee wa kujenga hoja na kupiga kura halafu mnadai katiba mpya?
Kilichowafanya mkimbie bunge la katiba 2014 ni nini
Na leo kimebadilika nini?
Mna mmujiza gani?
Au ugaidi?

Nasikia mnataka maridhiano
Kwa lipi
Zanzibar Kenya na Afrika Kusini walikofanya maridhiano kulikuwa na mazingira maalum mojawapo ni close gap.
Nyie mna 12% presidential vote bungeni mna 0.3%
Au kwa sababu mna 75% ya Jamii Forum na Twitter???
Acheni kuzingua bana
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Bila hao CHADEMA wananchi wengi wangezidi kuwa gizani na kuelemewa na unyonge!!
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
MKUU nasikitika Sana kukuambia kuwa chama tawala kimewafanya watz wengi wawe na utapiamlo wa ubongo na kushindwa kufikiri mambo ya msingi yenye afya kwa Taifa letu!!Ajenda za kiharakati za upinzani zimelisaidia Sana Taifa hili!Trust me BILA upinzani Tanzania ingekuwa na serikali ya hovyo iliooza KULIKO hizo ulizoziona kwa miaka mingi Sana!!!Ajenda ya katiba Mpya Sio ajenda ya upinzani wala ya ccm ya jk wa awamu ya nne ni ajenda ya wenye nchi (the state) kwa ajili ya wananchi na umepata Kasi Sana kutokana na madhara yaliyoonekana awamu ya tano NDIO màana upinzani umepewa ajenda hii na wenye nchi wai push hadi ifikie tamati!!!!Uchu wa kushika dola na kujaza matumbo umelevya wanachama wa chama tawala hadi wakatiwa upofu wa kutokuona Mbali ZAIDI ya matumbo yao!!!
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Harakati unazozisema si harakati bali ni serikali kutofuata katiba, wanaendesha nchi kwa kufuata matakwa ya CCM. Malalamiko yanayotokea kuhusu utendaji wa jeshi la polisi yanatokana kutakiwa kufanya hivyo dhidi ya wapinzani.
 
Chama chakavu mnawivu wa kike,mmetumia tiss,police,nec,msajili wa vyama kupambana na cdm mmeshindwa...hicho chama sio act au cuf hamkiwezi muulize yule marehemu wenu alisimamisha kampeni zake na kujitangaza kashinda,cdm ni kubwa kuliko ccm na wanachama wake sio vilaza kma prof kabudi,prof kitila,prof ndalichako...
View attachment 2155826
Jamaa anapiga tu-pushapu twa JKT.Hopeless kweli.Kuna mwingine alipiga hivyohivyo akafa.😂😂😂😂😂
 
Chama chakavu mnawivu wa kike,mmetumia tiss,police,nec,msajili wa vyama kupambana na cdm mmeshindwa...hicho chama sio act au cuf hamkiwezi muulize yule marehemu wenu alisimamisha kampeni zake na kujitangaza kashinda,cdm ni kubwa kuliko ccm na wanachama wake sio vilaza kma prof kabudi,prof kitila,prof ndalichako...
View attachment 2155826
Mwacheni Mungu aitwe Mungu ... !!!

Hizi push up zinanikumbusha jinsi alivyokuwa akimdhihaki Lowassa wakati yeye mwenyewe alikua spana mkononi

Haya sasa yeye kaondaka Lowassa bado anajikadiria kiasi cha chumvi anayotaka kwenye chips yai

Da! Maisha yanenda kasi sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.

Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.

Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.

Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.

Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.

Siasa za haki hamziwezi. Mmebakia utapeli tapeli tu.
 
Back
Top Bottom