Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.
Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.
Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.
Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.
Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Zisingekua na Mashiko Leo usingekua hapa unaandika hivi[emoji23][emoji23][emoji23].. Kwanini wamemwachia Mkt na wakati harakati zao hazina Mashiko [emoji23][emoji23][emoji23]Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.
Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.
Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.
Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.
Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Wewe labda utoane macho na mataga ndani ya chama chakoChadema ni office ya Mbowe, jamaa yupo kazini wenzangu na mimi tunataka kutoana macho.
Naona inakuuma kuona zile siasa za majitaka na chuki zimepotea katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Ni lazima ukereke tu kutokana na kusikia harufu nzuri ya pilau itokayo kwa jirani yako, wakati wewe unashushia nguna kwa maji.Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.
Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.
Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.
Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.
Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
yupo kazini wewe kama inakuuma chomoa tuChadema ni office ya Mbowe, jamaa yupo kazini wenzangu na mimi tunataka kutoana macho.
Ajabu badala ya kupigania tume huru mnataka katiba ikatungwe kwenye bunge ambalo halikupatikana kwa tume huruNgoja kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi ndo utajua hujui
Yaani una wivu kuliko hata bibi yako mzaa mamako jitu zima ovyo.Chadema wanajulikana tangia siasa za vyama vingi zianze kuwa hawana uwezo wa kuendesha siasa bila ya kufanya harakati za kisiasa ili kujifanya kuna vuguvugu wanalidai kwa manufaa ya umma.
Mkuu wa nchi alidai kuwa eti anataka kuaminiana na Mbowe ili wajenge nchi na kuwatumikia waTz ili kuleta maendeleo.
Hii kitu haitawezekana na hawa Chadema seio wa kuwachekea hata kidogo wakichekewa ndio haya mambo ambayo wamezoea kufanya yanatokea.
Hata kama tunahitaji katiba mpya kama taifa basi isidaiwe kwa vitisho na ubabe.
Leo hii wanajipiga kifua kuwa wao ni magangwe.
Pigo moja tu la covid moyo ukapata moto jamaa kameza ulimi yuko chato kalala anaongoza mashetaniMwacheni Mungu aitwe Mungu ... !!!
Hizi push up zinanikumbusha jinsi alivyokuwa akimdhihaki Lowassa wakati yeye mwenyewe alikua spana mkononi
Haya sasa yeye kaondaka Lowassa bado anajikadiria kiasi cha chumvi anayotaka kwenye chips yai
Da! Maisha yanenda kasi sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha kujifariji..Ajabu badala ya kupigania tume huru mnataka katiba ikatungwe kwenye bunge ambalo halikupatikana kwa tume huru
Itungwe na wabunge ambao ni haramu hamuwatambui
Ikatungwe kwenye bunge ambalo mna 0.3% ya wajumbe.
Very poor stratergy
Mnaenda nayo wapi sasa! ..UFIPA ?Wacha kujifariji..
Tunaenda na Rasimu ya Katiba ya Wariba