CHADEMA wampongeza Rais Samia kwa kuimarisha Uhuru wa kutoa maoni

CHADEMA wampongeza Rais Samia kwa kuimarisha Uhuru wa kutoa maoni

Ze Bulldozer

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2020
Posts
1,070
Reaction score
568
IMG-20211208-WA0006.jpg

===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,

Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa

Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
 
CHADEMA huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli,kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo,

Lissu na wenzako rudini Tanzania hii awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote,

===
View attachment 2036933
Mwambieni huyu Mbeligiji aache kuipakaza matope Tanzania,

Mpelekeeni Ujumbe huu na Wale wa EU wajue
 
Pamoja na kesi ya kumbambikizia Mbowe, bado utawala wa Samia ni bora zaidi ya mara elfu ya utawala wa Magufuli.

Samia, mwelekeze DPP afute hiyo kesi ya kubumba. Unda tume kumchunguza Kingai, Mahita, Jumanne, Godluck na wenzao.

Tuijenge Tanzania ya watu wastaarabu wanaoujua maana ya maendeleo ya kweli. Kwa kufanya hivyo utafurahia uongozi wako kwa kuungwa mkono na Watanzania wengi wenye dhamira njema kwa nchi yao. Safisha uchafu wote ndani ya Serikali yako ambao kazi yake kubwa ni kuchochea utengano.
 
Rais Samia ni mchaMungu nchi inatamalaki amani na Upendo
Mcha Mungu?

Je, unamkumbuka yule aliyekuwa akisifiwa na wachungaji, mapadre na mashekhe kila Kona kuwa ni mteule wa Mungu, nyuma ya pazia aliratibu madudu gani??

Wnasiasa sio wenzako, hawaaminik hata dk1
 
Yani unataka rais Samia aingilie uhuru wa mahakama ? Ili baadae Sabaya akitolewa uje ulalamike rais anaingilia uhuru wa mahakama?

Huna akili kabisa
Wewe ndiyo huna akili kabisa, Sabaya ameshahukumiwa baada ya Mahakama kujiridhisha pasipo shaka kuwa ni jambazi sugu, lakini Mbowe ni mtuhumiwa tu na hadi sasa upande wa mashtaka haujaleta mahakamani ushahidi wowote kwa tuhuma za ugaidi zaidi sana kuna vipolisi uchwara vimefundishwa uongo kuja kuihadaa Mahakama. Wewe ni mpumbavu fulani na hata sijui Mods unawapa nini kukuvumilia kwa post zako za kijinga jinga.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Samia, mwelekeze DPP afute hiyo kesi ya kubumba. Unda tume kumchunguza Kingai, Mahita, Jumanne, Godluck na we
hapo ndipo uipokoseayaani gaidi aachiwe waliomshitaki wakamatwe?hahahaaaa
 
Wasiojulikana ni gaidi mbowe yuko ndani ndiyo mambo shwari.

Hata Marekani walipomtuliza gaidi Osama hatusikii mauaji tena
Sina shaka, atakapo achiwa huru, utakuwa ulishamzalia mtoto kutokana na mimba aliyokuachia!
 
Yani unataka rais Samia aingilie uhuru wa mahakama ? Ili baadae Sabaya akitolewa uje ulalamike rais anaingilia uhuru wa mahakama?

Huna akili kabisa
Wenye akili wanajulikana kwa kujadili hoja, nina hakika wewe siyo miongoni mwao.
 
we unaonaje!
kesi ya michongo michongo utamfunga nani?
yaani unachowaza tu ndiyo hakiwezekani ukamchunguze kingai tena? hiyo kesi hafungwi mtu wanamotezea muda tu mbowe na kurahisisha uchaguzi wa 2025 baada ya hapo atakuwa hana athari zozote
 
yaani unachowaza tu ndiyo hakiwezekani ukamchunguze kingai tena? hiyo kesi hafungwi mtu wanamotezea muda tu mbowe na kurahisisha uchaguzi wa 2025 baada ya hapo atakuwa hana athari zozote
na huo ndo mwisho wa kufikiri wa ubongo wako.
 
Back
Top Bottom