Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Usicheke Mkuu inauma sana,[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usicheke Mkuu inauma sana,[emoji23][emoji23]
🤣🤣Wasiojulikana ni gaidi mbowe yuko ndani ndiyo mambo shwari.
Hata Marekani walipomtuliza gaidi Osama hatusikii mauaji tena
Hiyo sindano bila ganzi izame kwa nyumbu gang nyweeeeeeeeee
Safi sana CHADEMA, Tuweni wazalendo kama hiviView attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Kiaje?Samia kaingizwa mkenge na sukuma gang
Bila kumsahau IGPPamoja na kesi ya kumbambikizia Mbowe, bado utawala wa Samia ni bora zaidi ya mara elfu ya utawala wa Magufuli.
Samia, mwelekeze DPP afute hiyo kesi ya kubumba. Unda tume kumchunguza Kingai, Mahita, Jumanne, Godluck na wenzao.
Tuijenge Tanzania ya watu wastaarabu wanaoujua maana ya maendeleo ya kweli. Kwa kufanya hivyo utafurahia uongozi wako kwa kuungwa mkono na Watanzania wengi wenye dhamira njema kwa nchi yao. Safisha uchafu wote ndani ya Serikali yako ambao kazi yake kubwa ni kuchochea utengano.
Bibi ushungiNani?
Mimi jina tu CCM kwanza sitaki hata kulisikiaJinsi ya kuipooza chadema na watulie ni siasa safi na uongozi wa haki unaofata sheria basi hapo chadema lazma wapoteane,, kwa sababu chadema ina members wachache lakini ni watu wenye uelewa mkubwa alaf wengi ni educated pia ni wale ambao hawafati chama bali sera nzuri, siasa safi, na pia uongozi wa haki wenye kufata sheria kwahiyo ukiongoza vizuri kwa kufata hilo hao watu wenye uelewa lazma watakuunga mkono na wakikuunga mkono utachota members wengi wa chadema,, Samia akiweza hilo 2025 simple nchi itakua mikononi mwake tena.
Rais Samia ni taaa
MkuuHakika inapendeza sana...
View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Kaziiendelee Tanzania na SamiaView attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
si ajabu anampongeza mzanzibar mwenzakeAmesahau watu wapo ndani kwa kesi za kijinga
Wametuletea sheria za hovyo hovyo ambazo kule kwao haziposi ajabu anampongeza mzanzibar mwenzake