Elpaul
JF-Expert Member
- Jan 19, 2018
- 922
- 692
Ungaunga mkono scPingapinga FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungaunga mkono scPingapinga FC
Akili ndogo kama pussy yakoAkili ndogo
Wanaunga mkono tuu wewe kusuguliwa puru lakoMbona hawapingi wewe kulambwa kinyeo chako?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mara kadhaa imesemwa na CCM kwamba CHADEMA hupinga kila kitu/jambo linalofanywa na serikali inayoongozwa na CCM.
Ina maana CHADEMA hawataki nchi yetu ipate maendeleo? Na ni kweli pia kwamba huwa wanapinga kila kitu kinachofanywa na serikali inayoongozwa na CCM?
Mara kadhaa imesemwa na CCM kwamba CHADEMA hupinga kila kitu/jambo linalofanywa na serikali inayoongozwa na CCM.
Ina maana CHADEMA hawataki nchi yetu ipate maendeleo? Na ni kweli pia kwamba huwa wanapinga kila kitu kinachofanywa na serikali inayoongozwa na CCM?
Hivi tofauti kati ya kupinga na kutofautiana ni nini? Na nani anayeamua kama huku ni kuleta kitu mbadala ama ni kupinga?Mwisho, KUPINGA KITU KUNATUMIA HISIA, LAKINI KULETA KITU MBADALA KUNATUMIA AKILI.
Vipi unayepinga kuondosha kwenye jungu la hiyo asali,hata kuona Bora tukose wote🤔.Sasa sibora anayelamba na kuwaachia wengine kuliko anayevunja jungu ilmradi tukose wote🤔Chadema wanapinga kila kitu kinachofanywa na ccm kasoro kulambishwa asali tuu.
Hivi tofauti kati ya kupinga na kutofautiana ni nini? Na nani anayeamua kama huku ni kuleta kitu mbadala ama ni kupinga?
Nani anayeweka kigezo cha jinsi ya kutoa hayo mawazo mbadala!!?? Maana kama anayeweka kigezo ni yule anayekusudiwa kukosolewa basi sio sawa. Maana kama CCM ndiyo wanaotakiwa kuweka kigezo ni vipi wakosolewe na CHADEMA haitakuwa sawa.Kutofautiana ni kupinga katika lugha ya staha.
Kupinga hakuhusishi kutumia vyema uwezo wa kufikiri, lkn kuleta kitu mbadala lazima uchambue kasoro na pia kuleta sulihisho au mbadala wake.
Kupinga tunasema ni hisia kwa sababu pengine unapinga kitu kwa kuwa hukipendi kibinafsi au hata hukielewi. Pinga pinga si afya na mara nyingi kufanywa na wasio na hekima.
Unafikilia kwa kutumia akili au makalioCHADEMA siku hizi ni chama cha hovyo sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mr belgiji akisoma hii coment atacheka sana jinsi alivyo na mfuasi mjingamatapeli ya ccm kufikia 2025 lazima muende nyumbani mtake msitake
Nani anayeweka kigezo cha jinsi ya kutoa hayo mawazo mbadala!!?? Maana kama anayeweka kigezo ni yule anayekusudiwa kukosolewa basi sio sawa. Maana kama CCM ndiyo wanaotakiwa kuweka kigezo ni vipi wakosolewe na CHADEMA haitakuwa sawa.
Inavoonekana watu wengi hata hayo mawazo mbadala toka CHADEMA hawayajui hata yakoje.
Makubwa ni yepi hayo??Hayo ni mambo madogo madogo sana, ambayo yanahusisha kuweka MIONGOZO iliyojajiliwa na kuandaliwa na wadau.
Mlango uko wazi wewe suKumampumbavu ni wewe na familia yako pamoja na viongoz wenu huko ccm
You don't deserve my attention bit.ch-ass.Unafikilia kwa kutumia akili au makalio