CHADEMA wanajiita Chama Kikuu cha upinzani wakati walipata mbunge 1 wanatumia vigezo gani?

Hivi kumbe kulikuwepo na uchaguzi 2020?!!! Aisee akili nyingine----
 
Mleta hoja kwani kuna uchaguzi ulifanyika 2020?
Kwa aliyoyafanya yule mtu we acha tu, Jina la Mungu lisifiwe milele na milele.
 
Kipindi cha Magu ulitoweka. Kipindi hiki umerudi kikamilifu kwa wenye akili wanagundua kilichoko ndani yako.
 
Kama na hili la CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani linawaumiza basi chama kikuu cha upinzani ni CCM yenye wabunge wengi wakupita kwa marobota ya kura fake na chama tawala ni ACT wazalendo.
 
Wee mpumbavu kweli, kwani kuna uchaguzi uliofanyika 2020 au ni marehemu mwehu alikuwa anatudhihirishia kuwa ni mgonjwa wa akili aliyekuwa madarakani
 
Wee mpumbavu kweli, kwani kuna uchaguzi uliofanyika 2020 au ni marehemu mwehu alikuwa anatudhihirishia kuwa ni mgonjwa wa akili aliyekuwa madarakani
Punguani wa Bavicha huyu unaenda saa ngapi kutukana kwenye kijiwe chenu cha Space.
 
Do you believe it? Are you sure of yourself?
 
Ukiwa na akili timamu huwezi kusema na kuandika haya uliyoyaandaka yawezekana ww ni mtoto bado na hujui siasa CHAFU zinazoendeshwa na serikali ya CCM.
 

Wanaitwa na katika ya nchi na Serikali yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…