Mbowe asipowafukuza akina mdee kesho ajue chadema inafariki ghafra kama CUF ya LipumbaUsijisumbue bure kupiga ramli cdm inawenyewe na hawatatetereka asilan ww unafahamu uzito wa mdee,mbowe,lisu na mnyika? Hivyo ni vichwa vilivyopita kwenye tanuri la moto vimesafishika na vimekomaa subiri uone sehemu ya pili 2025 cdm hatoki mtuuu
Bandiko lako linaangaluzia zaidi matakwa ya wachumia tumbo kuliko kufuata taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Chama nk, Akina Mdee na wenzake kula kiapo katika viwanja vya bunge hakuwapi ridhaa ya kuwapo bungeni wakati hawajapatikana kwa taratibu tulizojiwekea katika katiba yetu.Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.
Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.
Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.
CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!
Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.
Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Chamwino wanatumia pesa za walipa kodi kuwanunua kitumwa wabunge wa kike tokea chadema kwa njia haramu za kishetani badala ya maendeleo, pesa nyingi za walipa kodi zinatumika kwa mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa TaifaChampion =Chamwino
Ni maajabu sana, yaani CCM wamewapenda ghafla wabunge wa Chadema[emoji848][emoji848][emoji848]Leo Mdee amekua mheshimiwa, siku chache nyuma mlimtukana matusi yote.
blah blah!Kwanza hakuna mtu anayeweza kumvua uanachama wa CHADEMA Mdee kwa sababu ana mizizi ndani ya chama kama alivyo Freeman Mbowe, Lucy Owenya na Grace Kihwelu.
Pili, Mnyika anajaribu kufahamu kinachoendelea lakini hakijui na siku ya Ijumaa ndio atakijua na huenda akajiuzulu.
Mzee Lowassa aliondoka CHADEMA lakini mzimu wake bado unaitafuna na hasa ule uwekezaji wake katika saikolojia ya wanachama wa CHADEMA.
Kiufupi, harakati za Tundu Lissu na amri zake haziendani na utamaduni wa CHADEMA na mabwanyenye wa Ufipa st hawazifurahii kwahiyo lazima waachane naye kisayansi.
Halima Mdee na wenzake wataruhusiwa na kamati kuu kuendelea na Ubunge na ambaye hatafurahishwa ataruhusiwa ama kujiuzulu nafasi za uongozi au kujivua uanachama.
Mungu wabariki wabunge wa CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanini nyie Mataga msikae na kupanga mipango yenu? Au hakuna mambo ya kujadili zaidi ya Chadema na Lissu?Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.
Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.
Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.
CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!
Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.
Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Huu ndiyo ukweli mchungu, wasipowafukuza hao Malaya mimi na Chadema bye bye japo sina kadi ya uanachama.Chadema ipo ICU na endapo hawatawavua uanachama hao watumwa wa kike waliouzwa Bungeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani watambue kuwa chadema inafariki ijumaa na ndiyo mwisho wake kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atasalia chadema tena watabakiwa na mazezeta kwani hakuna mtu anaupenda upumbavu huo
Chadema ipo ICU na njia pekee ya kuiokoa chadema isifariki ni kuwafukuza wabunge wa kike waliouzwa kitumwa kienyeji kwa NdungaiWacha tu siasa za bongo zirun maisha yangu hapa Tanzania lkn kuhusu mim kuendelea kuzifatilia nimenawa mikono.....
Bahati mbaya kabisa, bado utakuwa hujahama duniani!!!Leo nime prove kuwa wewe nawe ni wa hovyo kama wenzako! What kind of analysis is that? Kuna watu nimewapiga block kuepuka kupoteza muda kusoma rubbish! You are the next!
Naona mna hofu sana ya chadema kufa wakat hilo ndo lengo la mekoUamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.
Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.
Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.
CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!
Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.
Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Tunajaribu kuwapa ushauri makini kwani CHADEMA imejaa watu wenye negative minds.Ni watu ambao hawaangalii mbali kupita pua zao.Naona mna hofu sana ya chadema kufa wakat hilo ndo lengo la meko
Mbowe asipowafukuza akina mdee kesho ajue chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
Bandiko lako linaangaluzia zaidi matakwa ya wachumia tumbo kuliko kufuata taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Chama nk, Akina Mdee na wenzake kula kiapo katika viwanja vya bunge hakuwapi ridhaa ya kuwapo bungeni wakati hawajapatikana kwa taratibu tulizojiwekea katika katiba yetu.
Endelea kuandika tu na kodisheni majeshi mengine ya Burundi yaje kuwasaidia kuandika habari za chademaMsemaji wa waliomkopesha Lisu swali lingine?