CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

Usijisumbue bure kupiga ramli cdm inawenyewe na hawatatetereka asilan ww unafahamu uzito wa mdee,mbowe,lisu na mnyika? Hivyo ni vichwa vilivyopita kwenye tanuri la moto vimesafishika na vimekomaa subiri uone sehemu ya pili 2025 cdm hatoki mtuuu
Mbowe asipowafukuza akina mdee kesho ajue chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
 
Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.

Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.

Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.

CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!

Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.

Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Bandiko lako linaangaluzia zaidi matakwa ya wachumia tumbo kuliko kufuata taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Chama nk, Akina Mdee na wenzake kula kiapo katika viwanja vya bunge hakuwapi ridhaa ya kuwapo bungeni wakati hawajapatikana kwa taratibu tulizojiwekea katika katiba yetu.
 
Chadema hakuna unafiki ndiyo maana tumeamua kumchana Live mbowe kuwa kesho asipowafukuza watumwa wa kike aliowauza huko Bungeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani ,atambue kuwa chadema inaenda kufariki kifo kibaya cha ghafra kama CUF ya Lipumba.
 
Kwanza hakuna mtu anayeweza kumvua uanachama wa CHADEMA Mdee kwa sababu ana mizizi ndani ya chama kama alivyo Freeman Mbowe, Lucy Owenya na Grace Kihwelu.

Pili, Mnyika anajaribu kufahamu kinachoendelea lakini hakijui na siku ya Ijumaa ndio atakijua na huenda akajiuzulu.

Mzee Lowassa aliondoka CHADEMA lakini mzimu wake bado unaitafuna na hasa ule uwekezaji wake katika saikolojia ya wanachama wa CHADEMA.

Kiufupi, harakati za Tundu Lissu na amri zake haziendani na utamaduni wa CHADEMA na mabwanyenye wa Ufipa st hawazifurahii kwahiyo lazima waachane naye kisayansi.

Halima Mdee na wenzake wataruhusiwa na kamati kuu kuendelea na Ubunge na ambaye hatafurahishwa ataruhusiwa ama kujiuzulu nafasi za uongozi au kujivua uanachama.

Mungu wabariki wabunge wa CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
blah blah!
halima anakuwa nIbu waziri na ester bulaya.
mataga mmebaki mnabwabwaja tu mitandaoni
 
Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.

Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.

Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.

CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!

Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.

Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Kwanini nyie Mataga msikae na kupanga mipango yenu? Au hakuna mambo ya kujadili zaidi ya Chadema na Lissu?
 
Chadema ipo ICU na endapo hawatawavua uanachama hao watumwa wa kike waliouzwa Bungeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani watambue kuwa chadema inafariki ijumaa na ndiyo mwisho wake kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atasalia chadema tena watabakiwa na mazezeta kwani hakuna mtu anaupenda upumbavu huo
Huu ndiyo ukweli mchungu, wasipowafukuza hao Malaya mimi na Chadema bye bye japo sina kadi ya uanachama.
 
Endeleeni kushabikia upuuzi
Screenshot_20201126-110330.jpg
 
Wacha tu siasa za bongo zirun maisha yangu hapa Tanzania lkn kuhusu mim kuendelea kuzifatilia nimenawa mikono.....
 
Dili la kuuza wabunge wa kike kitumwa kwa Ndungai limepigwa na mbowe na Salum mwalimu Dalali ni polepole na akina bulaya, Mnyika na Lissu hawakujua mapema wamezungukwa kijanja ingawa wakipiga kelele huenda mbowe akawapa mgao toka kwenye bilion 3 alizopewa, mbowe hakutarajia kuwa huenda akakibomoa chama alidhani watu wamelala atawahadaa kijanja maisha yaendelee lakini sasa wanasubiria kesho waone maamuzi yake yatakuwaje?

Endapo hatathubutu kutoa maamuzi magumu ya kuwafukuza akina Mdee ndipo atakuwa amekiua chama kitafariki na kuzikwa kabsa atabakia na ruzuku lakini chadema itakuwa level ya CUF ya Lipumba
 
Wacha tu siasa za bongo zirun maisha yangu hapa Tanzania lkn kuhusu mim kuendelea kuzifatilia nimenawa mikono.....
Chadema ipo ICU na njia pekee ya kuiokoa chadema isifariki ni kuwafukuza wabunge wa kike waliouzwa kitumwa kienyeji kwa Ndungai
 
Leo nime prove kuwa wewe nawe ni wa hovyo kama wenzako! What kind of analysis is that? Kuna watu nimewapiga block kuepuka kupoteza muda kusoma rubbish! You are the next!
Bahati mbaya kabisa, bado utakuwa hujahama duniani!!!
 
Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.

Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.

Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.

CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!

Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.

Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Naona mna hofu sana ya chadema kufa wakat hilo ndo lengo la meko
 
Mdee apewe tuzo ya heshima kwa kuwapigania vema wanawake.
Lisu keshamaliza kona,hana jipya tena.
 
Hongera mtabiri maarufu Tanzania na nchi za jirani.upinzani uko mioyoni mwa watu,sio mdee Wala mbowe.cdm ni aluta continua
 
Mbowe asipowafukuza akina mdee kesho ajue chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba

Na akiwafukuza hawafukuziki wapo mikononi mwa spika bora awaache walivyo mtoto huwa hafukuzwi nyumbani kwa makosa
 
Bandiko lako linaangaluzia zaidi matakwa ya wachumia tumbo kuliko kufuata taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Chama nk, Akina Mdee na wenzake kula kiapo katika viwanja vya bunge hakuwapi ridhaa ya kuwapo bungeni wakati hawajapatikana kwa taratibu tulizojiwekea katika katiba yetu.

Anafikiri ww pekee ndio unajua siasa za awam hii? Wengi wanajua wapo wenye ujasiri kama wako wanasema wangine kwa hofu wako kimya na huu ndio mfumo tutakaokwenda nao mpaka 2025 upinzani watakuwa wanagawiwa viti mpinzani jeuri atakula jeuri yake hatimar wooote watakuwa ccm hapo ndio bakora zitaanza wao kwa wao
 
Back
Top Bottom