CHADEMA wanapinga NEC kuunganishwa kwenye Kesi ya Halima Mdee na wenzake. Je, ni kwa faida ya nani?

CHADEMA wanapinga NEC kuunganishwa kwenye Kesi ya Halima Mdee na wenzake. Je, ni kwa faida ya nani?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene,asiyejua maana haambiwi maana,ungekaa kimya ingesaidia kuficha uzuzu wako.
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
NEC sio chama cha siasa ni taasisi inayoongozwa kisheria, kanuni na taratibu, kimsingi NEC walishafanya jukumu lao la msingi hizo drama za mahakamani ni hao wabunge na chama chao NEC haihusiki huko
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Msingi wa Kesi ni upi?
Miongoni mwa makosa ya Wanachama waliofukuzwa ni kughushi nyaraka za Chama muhuri na SAINI.
Hapo unamuingizaje NEC kwenye kesi?
Unadhani NEC hawana hizo nyaraka? Na unadhani CDM hawajui kwamba NEC wana hizo nyaraka?
Wale ni wateule halali, muda utaongea!
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!

NEC ana barua ya kughushi ndio mchezo ulivyo. CHADEMA wameshtukia wameamua kumchomoa.
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
CHADEMA WANA AKILI KULIKO WEWE WANAJUA WANACHOFANYA ANAYETAKIWA KUTHIBITISHA UHALALI WA UBUNGE WAO NI HALIMA NA WAHUNI WENZAKE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cha ajabu mlikataa matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.
kwanini Nec isihojiwe ?
CHADEMA wana akili kubwa kuliko mleta mada. Wameona mbali Sana.

Kikatiba NEC haihojiwi wala kushitakiwa na chombo chochote. Huo ndiyo msingi wa pingamizi.
 
Huu mchezo hautaki hasira.
Wakati Halima na wenzake wakijua NEC haipelekwi mahakamani na wakijua ndiye mwenye kuthibitisha kuwa wana barua ya CDM walimuingiza awe shahidi.
CDM nao wanajua NEC ana barua iwe fake au halali ataitoa mahakama wanapibga asije kuthibitisha uhalali wa ubunge wa Halima.

Sasa hapo wanaojua sheria mtusaidie. Hapo NEC imeshtaakiwa au ni shahidi?. Sheria inaposema maamuzi ya NEC hayataamuliwa wala kuingiliwa na mahakama inamaanisha hata kutoa ushahidi wa kesi ?


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada Bora ungekaa kimya tu ,chadema Wana akili timamu na wanaamini wanachosimamia , serikal inaweza ingia kwenye kashfa chafu kupitia kesi hii na ikaleta sura mpya ,ni heri bunge linge watimua mapemq, lkn pia hata kuwatimu Bado ni ngumu sababu watashitakiwa wengi kwa kuhujumu uchumi ,kughushi nyaraka n.k hii ni mbaya kwa bunge la nchi . Kutumika na watu
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Wewe hata sheria ya kufuga Kuku hujui halafu unajifanya kuchambua sheria? Anayekudanganya Chadema wanataka msaada wa NEC ni Nani?
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Kumbe unatambua kwamba nikinyume na katiba alafu unajiongelesha hapa ,Sasa tukusaidieje,??
Ccm mna KAZI sana
 
Back
Top Bottom