CHADEMA wanapinga NEC kuunganishwa kwenye Kesi ya Halima Mdee na wenzake. Je, ni kwa faida ya nani?

CHADEMA wanapinga NEC kuunganishwa kwenye Kesi ya Halima Mdee na wenzake. Je, ni kwa faida ya nani?

wewe nyumbu si unataka hyo katiba ibadilishwe?
Vipi leo katiba mnayosema haifai muitetee?
Mimi nilidhani mngekubali NEC waitwe Sababu itakuwa ndo mwanzo wa katiba mpya wale wasiohojiwa waanze kuhojiwa.
Lakini shida AKILI ZENU ANAZO MBOWE MMEBAKI EMPTY
Unazidi kudhihirisha mtindio wa ubongo ulionao.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene,asiyejua maana haambiwi maana,ungekaa kimya ingesaidia kuficha uzuzu wako.
Mkuu mbona unatumia jina la VESTILINE hayo si mafuta?hicho si kilainishi?Au basi acha tu
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Mhuuu, Halima wanajua wanachokifanya. Chadema wamewashtukia na ni kinyume cha katiba.
 
Back
Top Bottom