mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
wewe nyumbu si unataka hyo katiba ibadilishwe?
Vipi leo katiba mnayosema haifai muitetee?
Mimi nilidhani mngekubali NEC waitwe Sababu itakuwa ndo mwanzo wa katiba mpya wale wasiohojiwa waanze kuhojiwa.
Lakini shida AKILI ZENU ANAZO MBOWE MMEBAKI EMPTY
Vipi leo katiba mnayosema haifai muitetee?
Mimi nilidhani mngekubali NEC waitwe Sababu itakuwa ndo mwanzo wa katiba mpya wale wasiohojiwa waanze kuhojiwa.
Lakini shida AKILI ZENU ANAZO MBOWE MMEBAKI EMPTY
Unazidi kudhihirisha mtindio wa ubongo ulionao.