CHADEMA wanapinga NEC kuunganishwa kwenye Kesi ya Halima Mdee na wenzake. Je, ni kwa faida ya nani?

CHADEMA wanapinga NEC kuunganishwa kwenye Kesi ya Halima Mdee na wenzake. Je, ni kwa faida ya nani?

Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Hiyo kisheria inaitwa pleminary objection ili kesi itupiliwe mbali bila hata kusikilizwa na kupoteza muda huku covid 19 wakiivuta ifike 2025
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
NEC ni wahuni chini ya Ibilisi Mahera kwa hiyo baraka zake mahakamani zitakwamisha msimamo wa CHADEMA.
 
Msingi wa Kesi ni upi?
Miongoni mwa makosa ya Wanachama waliofukuzwa ni kughushi nyaraka za Chama muhuri na SAINI.
Hapo unamuingizaje NEC kwenye kesi?
Unadhani NEC hawana hizo nyaraka? Na unadhani CDM hawajui kwamba NEC wana hizo nyaraka?
Wale ni wateule halali, muda utaongea!
Wateule halali wa Ibilisi Mahera,Magufuri na Job Ndugai.
 
CHADEMA wana akili kubwa kuliko mleta mada. Wameona mbali Sana.

Kikatiba NEC haihojiwi wala kushitakiwa na chombo chochote. Huo ndiyo msingi wa pingamizi.
Washauri waachane na kina Halima Mdee. Wakomae na katiba mpya naona kama wamejisahaulisha vile au ndio mambo ya kulamba asali!
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Watu waliotoka sayari nyeusi hawawezi kuelewa mantiki.
NEC haishitakiwi na kuishitaki ni kuipoteza kesi na kutupwa mbali. Aibu ambayo akina Mdee na spika wangeipata haiwezi kuwekwa hadharani na kina kibatala.
Kesi ikifutwa leo na Mdee wakaambiwa wafunguwe upya itakuwa ni vuta nikuvute wakati wakiendelea kuvuta mpunga.
 
mpumbavu utakuwa wewe.
Hyo katiba ya TANZANIA imevunjwa mara ngapi ?mpaka leo iwe ajabu kuvunjwa?tatizo mna akili za NYUMBU za kushindwa KUHOJI.
Hyo katiba mnayosema hairuhusu NEC kuhojiwa kila siku inavunjwa.
Na hata katiba yenu ya chadema inavunjwa mbona hamsemi?
lini mtajitawala kiakili na kuchukua akili zenu kwa mbowe?
Sehemu yoyote ukichaguwa kukaa kimya si rahisi kwa mtu yeyote kugunduwa upumbavu wako.
 
..Kesi hazitakiwi kuendeshwa kwa hila au janja-janja.

..Mawakili wa pande zote wako kuisaidia mahakama kutenda HAKI.

..Wajibu wa kwanza wa Mawakili ni huo wa kuisaidia mahakama kutenda haki, na sio kuleta ushindi kwa upande wanaouwakilisha.

..Katika kutekeleza wajibu huo Mawakili wanatakiwa kuisaidia mahakama kuhakikisha kwamba taratibu na sheria zinafuatwa ili haki itendeke. Hawatakiwa kuwekeana mitego, au kuendesha kesi kwa malengo yaliyoko nje ya mahakama na shauri husika.

..Maelezo ya mapingamizi ya Chadema na sababu zake ni haya hapa kwenye video.

 
mpumbavu utakuwa wewe.
Hyo katiba ya TANZANIA imevunjwa mara ngapi ?mpaka leo iwe ajabu kuvunjwa?tatizo mna akili za NYUMBU za kushindwa KUHOJI.
Hyo katiba mnayosema hairuhusu NEC kuhojiwa kila siku inavunjwa.
Na hata katiba yenu ya chadema inavunjwa mbona hamsemi?
lini mtajitawala kiakili na kuchukua akili zenu kwa mbowe?
Wahalifu mnapenda uhalifu hongera sana lakini yote ni ya hapa hapa duniani yatabaki na maisha yatasonga,mwendazake aliratibu hili zoezi la wabunge hewa na akawaachia wakiwa wanakula hizo hela ambazo alikuwa siku zote akitembea nazo mfukoni na yeye huko kuzimu mchwa wanashangilia.
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Sanaa tupu, kwa nini wapinge NEC kushitakiwa? Whao wana mamlaka gani?
 
Kaka hii katiba mnayosema hairuhusu NEC kuhojiwa ndo mnayotaka ibadilishwe au kuna nyingine!
Wahalifu mnapenda uhalifu hongera sana lakini yote ni ya hapa hapa duniani yatabaki na maisha yatasonga,mwendazake aliratibu hili zoezi la wabunge hewa na akawaachia wakiwa wanakula hizo hela ambazo alikuwa siku zote akitembea nazo mfukoni na yeye huko kuzimu mchwa wanashangilia.
 
Washauri waachane na kina Halima Mdee. Wakomae na katiba mpya naona kama wamejisahaulisha vile au ndio mambo ya kulamba asali!
Acha kuimbishwa wimbo usiyoujua Kama juha.

Hivi unadhani kutengeneza katiba ya nchi nj jambo la kufanywa na chadema pekee?
 
mpumbavu utakuwa wewe.
Hyo katiba ya TANZANIA imevunjwa mara ngapi ?mpaka leo iwe ajabu kuvunjwa?tatizo mna akili za NYUMBU za kushindwa KUHOJI.
Hyo katiba mnayosema hairuhusu NEC kuhojiwa kila siku inavunjwa.
Na hata katiba yenu ya chadema inavunjwa mbona hamsemi?
lini mtajitawala kiakili na kuchukua akili zenu kwa mbowe?
Jiwe chali, Mungu fundi aisee
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Umeandika ujinga mkubwa. Huelewi basics za sheria wala taratibu zinazoendesha mahakama.

NEC imepewa kinga ya kutoshtakiwa mahakamani. Kuishtaki NEC ni mbinu ya kurefusha kesi ili Mdee na wenzake waendelee kuwa wabunge.
 
Mara tu baada ya kuvuliwa uanachama, Halima Mdee na wenzake walitinga mahakamani na kufungua kesi na mmoja wa walalamikiwa ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Chadema wanapinga NEC kushitakiwa kwa sababu ni kinyume na katiba. Ila NEC ndio wangetanzua mzozo wa mamlaka iliyowateua akina Halima Mdee na wenzake kwa kutoa ushahidi wa barua iliyotumika.

CHADEMA wanasema hawakuandika barua wakati NEC inasema ilipokea barua kutoka CHADEMA.

Kama mashitaka yamekosewa kuijumuisha NEC, na NEC wangefika mahakamani na kutoa ushahidi uliojitosheleza, Chadema wangepoteza nini? Au Chadema haitaki NEC ifike mahakamani na kutoa ushahidi ambao waweza kuwa mwiba mkali kwa Chadema?

Hivi ruzuku ya chama ya wabunge wote wa Chadema inalipwa?

Kwa kifupi inaonekana kuwa hii ni sanaa!
Umeanza kwa kuuliza ni faida ya Nani Chadema kupinga NEC kushitakiwa, baadaye unahitimisha kwa kusema ni Sanaa! Unauliza na jibu unatoa mwenyewe!
 
mpumbavu utakuwa wewe.
Hyo katiba ya TANZANIA imevunjwa mara ngapi ?mpaka leo iwe ajabu kuvunjwa?tatizo mna akili za NYUMBU za kushindwa KUHOJI.
Hyo katiba mnayosema hairuhusu NEC kuhojiwa kila siku inavunjwa.
Na hata katiba yenu ya chadema inavunjwa mbona hamsemi?
lini mtajitawala kiakili na kuchukua akili zenu kwa mbowe?
Unazidi kudhihirisha mtindio wa ubongo ulionao.
 
Back
Top Bottom