Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Hivi upo sawa kiakili? Unajua nini maana ya mkopo? Kwani deni kuwa kubwa ndio kusem a huwezi kulipa?Sasa kama deni lako la taifa kwa muda uliokaa madarakani linazidi miradi yote uliyotekeleza, unahitaji akili gani kujua hicho unachoita kutekeleza kwa fedha za ndani ni kiini macho? Huo mfano wa korosho ilikuwa ni kukutoa uwaze nje ya box. Huko UK ni ghali zaidi, ila haimaanishi kuwa hiyo bei kwa hapa nchini ni nafuu kisa haiifikii huko UK. Fahamu UK hawalioni korosho.
Uk hawalimi korosho ila tambua kuwa the higher the production the lower the price pia.Sasa kama deni lako la taifa kwa muda uliokaa madarakani linazidi miradi yote uliyotekeleza, unahitaji akili gani kujua hicho unachoita kutekeleza kwa fedha za ndani ni kiini macho? Huo mfano wa korosho ilikuwa ni kukutoa uwaze nje ya box. Huko UK ni ghali zaidi, ila haimaanishi kuwa hiyo bei kwa hapa nchini ni nafuu kisa haiifikii huko UK. Fahamu UK hawalioni korosho.
Hivi upo sawa kiakili? Unajua nini maana ya mkopo? Kwani deni kuwa kubwa ndio kusem a huwezi kulipa?
Na deni kuwa kubwa ndio kusema kila mradi unatekelezwa kwa mkopo!
Kuomba kusamehewa kuna tatizo? Nchi hii bado inaendelea corona nayo imetuletea matatizo tambua hilo.Kama deni linakuwa kila mwaka mpaka kufikia kuomba kusamehewa madeni, tafsiri yake ni kuwa unaweza kulipa?
Kama deni lako linazidi kiwango chako cha miradi uliyotekeleza ukiwa madarakani, unahitaji akili gani hapo kujua kuwa unakopa zaidi kwenye utekelezaji wa miradi yako? Kama sio mikopo, sema hilo deni linakuwa hivyo kwa sababu gani. Magufuli alikuta deni la taifa likiwa 39t, kwa kipindi cha miaka mitano tu deni limekuwa kwa 1/3 ya marais wote wanne waliopita kwa miaka 54.
Dah! Hiyo ndo ilani??.... Kama akili zenyewe ndo hizi, basi alowaita nyumbu hakukosea.Ilani ya CHADEMA ni Uhuru, Haki Na Maendeleo ya Watu.
Details zake itafute usome acha porojo.
Hakuna Upinzani nchi hii
Hao ni Mamluki wakiwatumikia Mabwana zao
Hawa Mwaka huu watapokea kipigo cha Mbwa koko
Kufikisha 20% Itakuwa ni ushindi kwao
Kuomba kusamehewa kuna tatizo? Nchi hii bado inaendelea corona nayo imetuletea matatizo tambua hilo.
Deni limekuwa lakini ni himilivu kuwa muelewa.
Deni kubwa kuliko miradi au deni limeongezeka kutokana na miradi iiyopo? Fafanua maana wewe unakaririshwa sana.
Wewe una akili timamu?Kama deni haliongezeki kwa miradi iliyoko, linaongezeka kwa sababu gani? Nimekupa na kiwango cha awamu hii kwa miaka mitano dhidi ya deni la miaka 54 ya marais waliomtangulia.
Wewe una akili timamu?
Jibu konkiiii[emoji3][emoji3][emoji3]Niitoe wapi dogo?