Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Mleta mada kumbuka kuokoteza vitu, ideas hakujaanza leo maana hata wewe mwenyewe ni kuokoteza kwa mbegu za kike na kiume ndio ukapatikana.
Kuna ubaya gani wakitumia JF kupata ideas za wanachokitaka watanzania.
Nakushauri hata kama una lipwa kwa kila uzi tumia vizuri akili zako la sivyo tunakuona hamnazo.))
Kuna ubaya gani wakitumia JF kupata ideas za wanachokitaka watanzania.
Nakushauri hata kama una lipwa kwa kila uzi tumia vizuri akili zako la sivyo tunakuona hamnazo.))