Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdee kaponzwa na yule malaya wa Bunda... bora angekua anajipigia tu visichana vya mlimani kama kawaida yake... malaya wana nuksi sana.Mbona alipigiwa simu na Mdee kuhusu kupewa kiti ndipo akampigia Mnyika kuuliza kama Kamati kuu ilishatoa Baraka waende bungeni? Alipoambiwa NO naye kamjibu Mdee NO!!
Sio kila mwanasiasa ana Bei, anajua 2015 ataingia tu mjengoni sasa haraka za nini uharibu credibility!
Hili case haiishi mpaka uchaguzi ujao. Serikali inajua, viongozi wakuu chadema wanajua, japo wana wanawaminisha wanachama wao kuwa hawajui.I guess CHADEMA wataambiwa warudie hiyo process ya "kuwafukuza" kwa kufuata "katiba na sheria"
Hehehehe Ina maana hawakufuata hizo, wqlikurupuka..??I guess CHADEMA wataambiwa warudie hiyo process ya "kuwafukuza" kwa kufuata "katiba na sheria"
We una akili au huna...Magufuli kaingiaje hapa..swainnnnnnn...Mtoa mada Bado laana ya kuabudu Magufuli inakutafuna
Kwa hiyo wewe una wazimu,. Kwa sabb unaishi TzMmh! Nchi hii ilipaswa kuwa kambi ya wendawzimu tu. Binadamu mwenye akili zake hawezi ishi Tanzania
Wewe ni mtoa mada? Acha bangeWe una akili au huna...Magufuli kaingiaje hapa..swainnnnnnn...
kwa hiyo wakishinda ,chadema italizimishwa kukaa nao? uanachama si huwa ni kwa hiari, kwa maana muwe na nia moja
Kwenda kuleeWewe ni mtoa mada? Acha bange
Aaah sasa si ndio wanachotaka mahakama itamke.... Ila kwa vyovyote hukumu haizuii CHADEMA isije watimua tena!! So Wana nunua muda tu Ili kesi ziende mpaka 2025.Hehehehe Ina maana hawakufuata hizo, wqlikurupuka..??
Hapana inasikilizwa mfululizo kwa siku 14.... Unless Mdee ashinde kesi ila hakuna Cha kufika 2025 maana ikirudishwa tena baraza kuu Bado watatimuliwa tena na tena. Hakuna namna utalazimisha uanachama.Hili case haiishi mpaka uchaguzi ujao. Serikali inajua, viongozi wakuu chadema wanajua, japo wana wanawaminisha wanachama wao kuwa hawajui.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Yaani Bora angekufa na Vichaa wenzakeKichaa mmoja eliyekufa katuachia vichaa wengi sana.
Nawe upo?I guess CHADEMA wataambiwa warudie hiyo process ya "kuwafukuza" kwa kufuata "katiba na sheria"
Acha kupiga ramri huwezi kazi hiyoHili case haiishi mpaka uchaguzi ujao. Serikali inajua, viongozi wakuu chadema wanajua, japo wana wanawaminisha wanachama wao kuwa hawajui.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu hivi ni kweli Mzee Mdee ni mkoboaji yule manzi.Mdee kaponzwa na yule malaya wa Bunda... bora angekua anajipigia tu visichana vya mlimani kama kawaida yake... malaya wana nuksi sana.