SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
CCM inatupotezea muda kuwakumbatia hawa vicheche,wangewapa uanachama wa CCM kisha waendelee na ubunge wao kama walivyofanya Kwa Cecil Mwambe,hatutawashangaa kwani wao ni mabingwa wa kuvunja na kuinajisi Katiba.