Chadema waongea na waandishi habari juu ya shambulio la Mbowe na mtazamo wa chama

Chadema waongea na waandishi habari juu ya shambulio la Mbowe na mtazamo wa chama

Huu ni uonevu mkubwa..
Kama kuna kiongozi anayewatuma hao watu.
Hafanyi kitu kizuri.
waziri wa mambo ya ndani.
JITAFAKARI.
kama serikali haihusiki na wewe umekaa kimya BASI HAUFAI maana hatuko salama
 
Huu ni uonevu mkubwa..
Kama kuna kiongozi anayewatuma hao watu.
Hafanyi kitu kizuri.
waziri wa mambo ya ndani.
JITAFAKARI.
kama serikali haihusiki na wewe umekaa kimya BASI HAUFAI maana hatuko salama
Inasemekana alikuwa mbwii akateleza. Usiwe mwepesi wa kuamini ya kusikia.
 
Mnyika.#HATUCHUJI #KwanzaHabari
"Mwenyekiti Freeman Mbowe hakuwa peke yake wakati tukio hili linatokea, nisingependa kuingia kiundani alikuwa na nani na aliyekuwa naye ameona nini. >>>

Je alikuwa na nani wasie taka kumtaja, na huyu ni Mume wa Mtu
 
Back
Top Bottom